Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Kuwa mwanaume kamili kuna mambo mengi unapitia!!!!! Mazuri na mabaya, yakweli na ya uongo, ya ajabu na ya kawaida tu, yanayoonekana na yasiyoonekana.

Inategemeana umekutana na mtu wa level gani. Japo inauma unapojua umedanganywa, hiyo ni kwa jinsia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapatwa na kibuti mama, wacha tu kamba ziendelee ili tupate tunachotaka! We nikikwambia nina mke utanipa chiu?
Nipigwe akuuu

Ila mkitwambia ukweli inakuwaga rahisi hata visimu simu na vimessage tunapunguza.
 
nilishawahi kuazima gari ili mradi nimle mtoto wa mwanasiasa pendwa hapa mjini .
COET alumni 2016
 
Ili uweze kuwa mwanaume kamili, lazima pia uwe na swaga za kishua ili mipango iweze kwenda sawia...

Bila hivyo, warembo watakutesa sana..

Warembo mtuvumilie tu, ndivyo tulivyo.

View attachment 1415644

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia, mwanamke atabaki kuwa mwanaume lakini wanaume siku hizi wanabebishwa kama wanawke. Kiufupi, mwanaume anawza kuwa wa kiume muda wowote.
 
Back
Top Bottom