Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Kuna kabila moja silisemi......ukioa huko uwe makini.....
Unakuta binti ana miaka 38 unaambiwa ana miaka 26....na wanautamaduni wa kuwatrain watoto wao wa ujanani na kuwaita mama zao dada....yaani...

Wewe ndiyo unatambulishwa pale, mtoto anatokea anamuita mama yake DADA, MGENI ANAKUNYWA KINYWAJI GANI..?
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]


Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa yake hapo unakula kuku na mayai yake
 
Kwani nani kasema mmekuwa wanawake?
Ukiona baba ndani ya nyumba anaanza vitisho "mimi ndio baba humu ndani" ujue akili hamna.
 
Hii dhana kuwa wanawake wanapendwa kuongopewa imetokana na Nini?... hua nawaza Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukakutana na msukuma wa kawaida saana....anauza nyanya....akikwambia yeye ni muuza nyanya katu asilani humtaki...

Ila akiingia kwa gia za kishua kuwa Mo ni mjomba wake, Mengi ni binamu yake, ile Range rover latest kabisa ni yake.....hapo wadada weng wanaingia kwenye line..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba hamna akili wote? Jizungumzie mwenyewe, wapo wanaojielewa japo na wenzio pia wapo.
Jipe moyo utayashinda......

Mwanamume huwa anajielewa sana kazini, kwenye biashara zake, kulea familia na mambo mengine ya future....

Ila linapokuja suala la warembo....lazima kujitoa ufahamu kidogo ili muingie king...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaaa...

Mkuu kwani kabla yako alikuwa mgeni wa nani....

Mm kuna mmoja aliniambia eti ukiniacha itakuaje mm ntabaki na nani...nikabaki kucheka tuuh,wakat skumkuta bikra
atabaki na wazazi wake mkuu! Hujamwambia tu bado?
 
Hii dhana kuwa wanawake wanapendwa kuongopewa imetokana na Nini?... hua nawaza Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Imetokana na mabadiliko ya tabia nchi tu mamii!
Pale hela ilipoanza kufanya kazi katika kila jambo na wanawake kuiweka mbele kama tai kuwa ni kigezo kikuu cha kurasimisha huduma ya penzi basi ndio changamoto ya uongo ilipozaliwa! Pia walipoanza kuleta kwere ya kutukubalia wakijua una mtu ndipo walipozingua kabisa, yani mwanamke ukimwambia nina mke wangu ujue utamu hutakaa upewe ila hela zako zitaliwa tu
 
Unaweza ukakutana na msukuma wa kawaida saana....anauza nyanya....akikwambia yeye ni muuza nyanya katu asilani humtaki...

Ila akiingia kwa gia za kishua kuwa Mo ni mjomba wake, Mengi ni binamu yake, ile Range rover latest kabisa ni yake.....hapo wadada weng wanaingia kwenye line..


Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na ulivyo mtamu hivyo ukweli utausikia kwenye album ya wagosi wa kaya tu! Mwendo wa kukupa unachotaka kusikia tu! Uzuri ni kwamba mwanamke huwa anapenda kusikiliza mambo mazuri na ni mwepesi kuamini anachoambiwa.
Sawa hata Mimi napenda ambiwa mazuri ila muwe mnatuongezea na ya uchungu kidogo..mazuri yakizidi Sana Yana uchungu mbeleni
 
Sisi wanaume wa shoga hatupo hivyo,hizo ni tabia za wanaume wa kinondoni kama type ya billinass


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom