Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Siungi mkono uongo lakini pande zote ke na me huwa tunaficha mambo flani.
Kuna mrembo aliniambia kuwa "nilikuficha hili" kwa kuhofia ungeniacha na kama ungeniache ningekuwa mgeni wa nani?

Wewe hapo huwezi kuongea kila kitu, yapo utaficha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo alivyokwambia kuwa "alikuficha hili" kuhofia utamwacha bado ukaendelea nae?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Kwaiyo alivyokwambia kuwa "alikuficha hili" kuhofia utamwacha bado ukaendelea nae?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020

Actually haikuwa inshu kubwa ya kuathiri uhuaiano, huu ni metoa tu mfano kuwa ni ngumu kuusema ukqwli wote
 
Sema ndivyo nilivyo na sio ndivyo tulivyo. Usitusemee sisi ambao sio wahuni wenzako. Watu empty set kama nyie ndo mnaofanya wanawake wasituamini na mwisho kuona wanaume wote ni wabaya kumbe kunguru mmoja tu. Shenzy....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hii mbuzi, acha kutafuta huruma za mademu

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Actually haikuwa inshu kubwa ya kuathiri uhuaiano, huu ni metoa tu mfano kuwa ni ngumu kuusema ukqwli wote
Mm nimempiga chini demu kwa kunificha mambo fln niliyokuwa nahofia/namashaka nayo, af kwa utundu wangu (intelligence) nikamset akajaaa /akakiri...guess what...

Piga chini mazimaaaa

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Sema ndivyo nilivyo na sio ndivyo tulivyo. Usitusemee sisi ambao sio wahuni wenzako. Watu empty set kama nyie ndo mnaofanya wanawake wasituamini na mwisho kuona wanaume wote ni wabaya kumbe kunguru mmoja tu. Shenzy....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ukishindwa kumtengeneza akuamini utalizwa hadi machozi yaache kutoka kama hujui kuteka hisia za mwanamke utabqki kulalamikia wanaume wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekuwa ni kawaida sana dunia ya sasa kujisifia vitu vya ajabu.
Kuna mengi ya kumfanya mwanaume kuwa mwanaume lakini sio hicho.
Upo sahihi me mwenyewe Mwanaume sipendi ujinga,ukweli Kwa Mwanaume huo ndo uanaume,maana unaongea huku unajiamini.
 
Siungi mkono uongo lakini pande zote ke na me huwa tunaficha mambo flani.
Kuna mrembo aliniambia kuwa "nilikuficha hili" kwa kuhofia ungeniacha na kama ungeniache ningekuwa mgeni wa nani?

Wewe hapo huwezi kuongea kila kitu, yapo utaficha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahahaaa...

Mkuu kwani kabla yako alikuwa mgeni wa nani....

Mm kuna mmoja aliniambia eti ukiniacha itakuaje mm ntabaki na nani...nikabaki kucheka tuuh,wakat skumkuta bikra
 
Ila na nyie ni mabingwa wa kuficha watoto wa ujanani
Kuna kabila moja silisemi......ukioa huko uwe makini.....
Unakuta binti ana miaka 38 unaambiwa ana miaka 26....na wanautamaduni wa kuwatrain watoto wao wa ujanani na kuwaita mama zao dada....yaani...

Wewe ndiyo unatambulishwa pale, mtoto anatokea anamuita mama yake DADA, MGENI ANAKUNYWA KINYWAJI GANI..?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom