Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu...

Boeing 747

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
3,517
Reaction score
9,452
Ili uweze kuwa mwanaume kamili, lazima pia uwe na swaga za kishua ili mipango iweze kwenda sawia...

Bila hivyo, warembo watakutesa sana..

Warembo mtuvumilie tu, ndivyo tulivyo.

FB_IMG_1586544124560.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema ndivyo nilivyo na sio ndivyo tulivyo. Usitusemee sisi ambao sio wahuni wenzako. Watu empty set kama nyie ndo mnaofanya wanawake wasituamini na mwisho kuona wanaume wote ni wabaya kumbe kunguru mmoja tu. Shenzy....

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa matusi ya nini....nani aliyetukana hapa......
Kama wewe haupo hivyo ungesoma tu, upite mbali bila kukoment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom