DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,312
- 109,413
Lugha ya "siko sawa kiuchumi"Kama hadi muda huu yuko naye ni kweli kabisa anamanisha hayuko sawa kiuchumi.
Wanawake hawatakagi kabisa kuiskia
Wanachotaka Ni mahitaji yao TU BHAAS
Lugha ya "siko sawa kiuchumi"Kama hadi muda huu yuko naye ni kweli kabisa anamanisha hayuko sawa kiuchumi.
As long as unampenda mbona fresh tuu, si mlitaka 50% 50%Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako
Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.
Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?
Au nyie mna maoni gani?
Najaribu kumsaidia mtu hapa.

Kiufupi hapo mwenye shida ni huyo mwanamke. Ndoa sio kuchukua mwanamke na kumuweka ndani, inaambatana na vitu vingi. Mtu ambae hata kula yake ni ngumu, akiongeza na mtu wa pili itakuwaje?Ataoa vipi Kama Ela yenyewe ya kula inampg chenga,
Akienda ukweni akatajiwa vikorokoro vya mahali na kuoa ataweza kumudu?
Akili za Wanawake Sijui sometimes huwa zinawaza nn![]()
Tatizo sio huyo mwanaume. Tatizo ni wewe.Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako
Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.
Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?
Au nyie mna maoni gani?
Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako
Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.
Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?
Au nyie mna maoni gani?
Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Masomo Matatu Ambayo Wanawake Huwa Hawajifunzi.Anamvumilia one day anahisi mambo yatakaa sawa ila kwa tabia hizi duh
Sweetheart, I miss you.Huyo unaemsaidia ndio hajielewi
Absolutely.Huyo unaemsaidia ndio hajielewi