Mwanaume asiyejielewa

Mwanaume asiyejielewa

Hata wewe deepPond Nahisi umewaza kama mimi, ukisoma pointi namba 3 hadi namba 10 za mtoa mada, mbona hivyo ni vitu ambavyo sisi wanaume wengi tunawafanyia wanawake, ila wao wanawake hawataki kutufanyia hayo DeepPond Mzigua90 Princess maryam Evelyn Salt

Wanawake hawakuumbwa kuwafanyia kitu wanaume. Waliumbwa kulea familia na kuzaa kwa uchungu.
 
Habari za jioni,

Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.

1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako

Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.

Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?

Au nyie mna maoni gani?

Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Hakuna mwanamke waki bonge atakayeweza kumfanyia wanaume wake mambo kama hayo, labda mwanamke waki Zungu ndiyo wanaweza kwasababu wao hawana mfumo dume .
 
Habari za jioni,

Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.

1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako

Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.

Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?

Au nyie mna maoni gani?

Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Mariooo
 
Kwa masingle mama huwa tunaact hivyo. Probably, wewe ni single mama unayeweza kuhudumia mwanaume. You've to pay the price of being a single parent.
 
Back
Top Bottom