Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,575
- 3,106
KATAA NDOA 







Mbona jibu unalo tayari?Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako
Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.
Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?
Au nyie mna maoni gani?
Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Huyo mwanao hayupo
Ukraine kuna vita ,tetemeko liko turkey Mwl😂😂😂😂Hivi mapenzi bado yapo au yalienda na tetemeko huko UKRAINE
Kumbe bado slogani ipo pale pale 🤓UTAPELI
Kaa kwa kutulia aidha upigwe au upige mwendo wa kuoteana sasa, akikuotea umekwisha
Princess maryam umesikia lakini?Hapa Wakushauriwa Ni huyo kijana
Ushaur Ni kwamba
Akuvumilie TU kipind iki kigumu Hana KAZI unavomhudumia uku unamsimanga
Ila mambo yake yakikaa sawa
Namsihi akupige chini haraka,akaoe mwanamke asie na roho ya ubinafsi Kama Wewe.
Utambulisho wa Muamala: 1606049149. Umepokea TSH 15,000.00 kutoka kwa FADHILI ZAROFI YENGO, till 371981 wakati 2023/03/11 15:16:54. Salio jipya ni TSH 15,024.00. Asante!Wanawake bila hela ni kutwanga maji kwenye kinu wazee kila siku tunawahubiria hapa...
Hawataki stori nyingi mademu mkuu, yan we zibua hata vyoo ila uwe na pesa utawezana nao yan... Ila ukiwa mbupu, ahahaha hautaacha ona rangi zote...Utambulisho wa Muamala: 1606049149. Umepokea TSH 15,000.00 kutoka kwa FADHILI ZAROFI YENGO, till 371981 wakati 2023/03/11 15:16:54. Salio jipya ni TSH 15,024.00. Asante!
Hizo ndio meseji ambazo wanawake wanazozipenda zaidi kuliko meseji zozote katika maisha yao, kwa hio sina la kuangezea labda muehshimwa rais km anapita hapa ataangezea na yeye la kwake
Mwanamke anatoa Ila akitoa jua ni deni lazima utarudisha na riba juu, yaan atakupa 5,000 basi utamrudishia 30,000, 80,000 au 100,000 wanakuhesabia tu siku yaan utarudisha tu, usione maandalizi mazuri ukachekelea unaandaliwa mazingira ya kupigwaHawataki stori nyingi mademu mkuu, yan we zibua hata vyoo ila uwe na pesa utawezana nao yan... Ila ukiwa mbupu, ahahaha hautaacha ona rangi zote...
Hata wewe deepPond Nahisi umewaza kama mimi, ukisoma pointi namba 3 hadi namba 10 za mtoa mada, mbona hivyo ni vitu ambavyo sisi wanaume wengi tunawafanyia wanawake, ila wao wanawake hawataki kutufanyia hayo DeepPond Mzigua90 Princess maryam Evelyn SaltWanawake Kama mtoa mada
Ndo mnasababisha Watu wakatae NDOA
Wanawake mna ubinafsi sana,mbona nyie mnakuwaga Hanna chochote na tunawaoa hivyo hivyo
Anayestahili kufanyiwa hayo ni mume tu.
Kosa ni la mwanaume tulishasema ukiwa hauna hela usijihusishe na mapenz ya aina yeyote ile kausha tu kaa home kwenu, unaona sasa the definition ya mtu haelewek kwa wanawake? NI KUWA BROKE... Inawezekana jamaa anampenda kweli mwanamke ila jamaa yupo broke.. Na inawezekana kabisa huyu mwanamke anaelalamika jamaa haeleweki nae yupo broke ila anaona sawa kabisa yeye kuwa broke ila mwanaume kuwa broke anaona hapana, Waachane na hiyo relationship wafanye mambo mengine watakuja kugombana huko mbele.. Mwanamke anaona mambo hayatokei ameanza kukata tamaa huu ndio muda sahihi wa jamaa kukaza ili amwonyeshe mwanamke kuwa hili jambo lilikuwa temporally. Mwanamke akikupiga chini sababu ya pesa usichukie lifanye hilo jambo kama motivation ya kutafuta pesa ili uwe huru na hizi mbususu... Nikiwa sina hela nkitoka job ni home moja kwa moja wala hata siongelesh watu na wala sitak story na wanawake hata status zao siziangalii whatsapp wasije nipiga vizinga bure... Wanawake bila hela ni kutwanga maji kwenye kinu wazee kila siku tunawahubiria hapa...