Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,099
- 165,274
Hivi mapenzi bado yapo au yalienda na tetemeko huko UKRAINE
Kwa tafsiri HiiHuyu mwanaume wa rafiki yako unapenda kumfatilia vipi unamtaka?
![]()
Je, huyu mwanaume ana malengo?
Jamani habari zenu, Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu mmoja amejikuta yupo dilema juu ya haya mahusiano yake. Amekua kwenye mahusiano na mwanaume kwa miaka miwili sasa. Mwanaume huyo hajawahi kumsaidia kwa chochote wa kumpa chochote huyo mwanamke , hata chokoleti zawadi hajawahi...www.jamiiforums.com
Atakuwa ni wale wa upinde; achana naye.Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako
Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.
Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada???
Au nyie mna maoni gani?
Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Ha ha ha.....Nyie watu wawili hamkosekani kwenye nyuzi mnakaba mpaka penati![]()

Mtoa mada atakuw hii kesi ni yeye au anamtaka shemeji yakeKwa tafsiri Hii
Mtoa mada Hana sifa ya kuolewa
Mtoa mada ndo tafsiri halisi ya wanawake tunaopaswa kuishi nao kwa akili
Tuma picha yako kwanza tukuone muonekano wako kama bonge umekwishaaa ni wa kutoa assist kama chama tu......
Hapo kosa sio la mwanaume. Huyo mwanamke anayefanya hayo yote ndio anazingua.
Alaf mbona namba 1 inakinzana na hapo nilipo bold?
Ni zaidi ya masimango mkuu
Wewe mbona huu mwandiko wa kiume kabisa?
Unatutega tuingie kichwa kichwa
SawaHakuna simango hapo, ni kutafuta ushauri tu
Wanawake Kama mtoa mada
Ndo mnasababisha Watu wakatae NDOA
Aachane nae ni mwanaume asiye na malengo atamsumbua
Ila kama ni wewe nakuonea huruma
Huoni kama ilo ni jambo zuri. Muhusika yupo tayari kuolewa ktk mazingira magumu aliyonayo jamaa?Kwasasa hayuko tayari kuoa, anasema hadi atoboe maisha
Anazingua sn mtoa mada,
Masimango yote sijaona alipanda kwann jamaa hayuko sawa kiuchumi
Inaonekana suala la kwann mpenz wake kayumba halimhusu, anachojali Ni mambo yaende no matter what.
Wanawake km mtoa mada ukiwaendekeza, uchelewi kua kibaka au jambazi ,ukamatwe upigwe mawe ufe kwa sababu ya mapenz
Huyu mwanaume wa rafiki yako unapenda kumfatilia vipi unamtaka?
![]()
Je, huyu mwanaume ana malengo?
Jamani habari zenu, Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu mmoja amejikuta yupo dilema juu ya haya mahusiano yake. Amekua kwenye mahusiano na mwanaume kwa miaka miwili sasa. Mwanaume huyo hajawahi kumsaidia kwa chochote wa kumpa chochote huyo mwanamke , hata chokoleti zawadi hajawahi...www.jamiiforums.com