Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Mzee nilikuwa nakumbushia enzi zako sikuwa na nia ya kufukua yaliyozikwa mimiWewe ndo umefukua kaburi sio?
Mzee nilikuwa nakumbushia enzi zako sikuwa na nia ya kufukua yaliyozikwa mimiWewe ndo umefukua kaburi sio?
KumbeNdio. Mimi nimekaa mwaka mzima bila kumega. Nimemega wiki iliyopita kwa mara ya kwanza toka July 2008!!!!
Hiyo miezi sita bila bila lazima utajiselfia.Mi miezi sita naweza ,mwaka siwezi aisee tena kadri navyozidi kukua naona hamu inaongezeka
Sasa sijajua kwa upande wa wanaume
Mm nina miezi 11 sasa bila kufanya tendo hilo baada ya mwanamke kunifanyia yake (kuondoka kwa kunizalilisha sana )nimewachukia sana sitamani tena.Kuna mdau kauliza kama mwanamke (aliyeolewa? Nadhani alimaanisha hivyo) anaweza kukaa miaka mitatu bila ku do. Imenipa changamoto kubwa. Miaka mitatu si mchezo. Kwa mwanaume je? Miaka mitatu hiyo ni impossible, wote tunajua hilo. Mwaka mmoja naona bado ni ngumu. Je miezi sita anaweza? Hii inamlenga mwanamme rijali aliyeoa ikamlazimu kutengana na mkewe kwa miezi sita tu. Tuangalie na upande wa pili wandugu.
Wanaume kuweni wakweli wajameni. Nawasilisha.
u made my daymnhh, mi hata miezi 2 sifikishi.
Lazima hiyo aisee,tena mi nakijifanyia mwenyewe nafika kileleni haraka kweli loHiyo miezi sita bila bila lazima utajiselfia.
Unakuwanao wakienda kuoga acha ushabiki wewe changi alafu usiseme umewaona je wewe unaweza kakaaa kwa mda huo kama unaweza sema ndio bwegeHuo ni mtizamo wako tu,ndivyo unavyowaza.Lakini ukweli ni kwamba wanadamu tunaishi hasa kwa MAAMUZI.Ukiamua kutulia inawezekana kabisaaaaaaaaa. Binafsi nimeshuhudia watu ambao wanamaanisha wanachosema na hawafanyi mambo hayo mpaka wakabidhiwe mke/mume na Mchungaji/Padre au Shehe.
HmmMi nafikisha miaka 2 soon...ila selfie kwa sana
Kila mtu humu anaweza kaa mwaka au miaka miwili,mnaweza tu kuandika maana ni rahisi matendo sasa hu hu huu,,, wakati kuna wanaume hata kukaa wiki bila kudo hawezii
Mi nafikisha miaka 2 soon...ila selfie kwa sana
Hio ni miaka kumi.Muongo utamjua tu.Ndio. Mimi nimekaa mwaka mzima bila kumega. Nimemega wiki iliyopita kwa mara ya kwanza toka July 2008!!!!