Mwanaume anaweza kukaa miezi sita bila ku "do"?

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,356
Kuna mdau kauliza kama mwanamke (aliyeolewa? Nadhani alimaanisha hivyo) anaweza kukaa miaka mitatu bila ku do. Imenipa changamoto kubwa. Miaka mitatu si mchezo. Kwa mwanaume je? Miaka mitatu hiyo ni impossible, wote tunajua hilo. Mwaka mmoja naona bado ni ngumu. Je miezi sita anaweza? Hii inamlenga mwanamme rijali aliyeoa ikamlazimu kutengana na mkewe kwa miezi sita tu. Tuangalie na upande wa pili wandugu.

Wanaume kuweni wakweli wajameni. Nawasilisha.
 
ngabu bwana!!!!

ki msingi inategemea, kama si mcha Mungu huwezi kukaa hata mitatu, lakini kama u mcha Mungu hata miaka miwili inakatika.
binafsi nimewahi kukaa mitatu, mpaka mpaka nilipompata mama Blanca wangu
 
Jamani, nyie wanaume mmekosa mada ya kuongelea??? Mbona kuna masuala mangi tu yanaikabili nchi yetu mngeongelea: Kilimo Kwana, Eli Nino, Mafuta siyo ya Muungano, etc. Hya ya kumega nashauri muyaache muongee na wale wenu wa karibu mkiwa home!!! I stand to be corrected!!!
 
ngabu bwana!!!!

ki msingi inategemea, kama si mcha Mungu huwezi kukaa hata mitatu, lakini kama u mcha Mungu hata miaka miwili inakatika.
binafsi nimewahi kukaa mitatu, mpaka mpaka nilipompata mama Blanca wangu

Mungu na kumega vinahusiana vipi? Hakuna ubaya wowote kumega au kumegwa. Hakuna dhambi yoyote hapo.

Hao wanaojidai wacha Mungu ni wanafiki wakutupwa. Ni wapiga puli hodari sana na mademu hujichezea sana.
 
Mungu na kumega vinahusiana vipi? Hakuna ubaya wowote kumega au kumegwa. Hakuna dhambi yoyote hapo.

Hao wanaojidai wacha Mungu ni wanafiki wakutupwa. Ni wapiga puli hodari sana na mademu hujichezea sana.

Mkuu punguza makali kiduchu.
 
Jamani, nyie wanaume mmekosa mada ya kuongelea??? Mbona kuna masuala mangi tu yanaikabili nchi yetu mngeongelea: Kilimo Kwana, Eli Nino, Mafuta siyo ya Muungano, etc. Hya ya kumega nashauri muyaache muongee na wale wenu wa karibu mkiwa home!!! I stand to be corrected!!!

Mpaka umeingia hapa, lazima nawe ilikugusa kidogo. Hayo mambo yanayoikabili nchi yetu hata uyazungumze vipi bila kubadili system iliyopo tutabaki tunaongea tu. Ni heri tujadili mambo yanayotugusa moja kwa moja. Tena mambo yanayohusu burudani kuu kuliko zote.
 
Jamani, nyie wanaume mmekosa mada ya kuongelea??? Mbona kuna masuala mangi tu yanaikabili nchi yetu mngeongelea: Kilimo Kwana, Eli Nino, Mafuta siyo ya Muungano, etc. Hya ya kumega nashauri muyaache muongee na wale wenu wa karibu mkiwa home!!! I stand to be corrected!!!

Mama Mdogo, habari za leo.
Nataka kukufahamisha kwamba mada ni mada na huu ni uwanja wa mada unachotakiwa ni kuchangia mada kama imekugusa na kama vipi kaa kimya, hujui kwamba mada nyingine ni za kipuuzi lakini mwisho wa siku unalinganisha nakujifunza jambo, kama na wewe un mada lete ndani ya nyumba.
 
Mungu na kumega vinahusiana vipi? Hakuna ubaya wowote kumega au kumegwa. Hakuna dhambi yoyote hapo.

Hao wanaojidai wacha Mungu ni wanafiki wakutupwa. Ni wapiga puli hodari sana na mademu hujichezea sana.

Huo ni mtizamo wako tu,ndivyo unavyowaza.Lakini ukweli ni kwamba wanadamu tunaishi hasa kwa MAAMUZI.Ukiamua kutulia inawezekana kabisaaaaaaaaa. Binafsi nimeshuhudia watu ambao wanamaanisha wanachosema na hawafanyi mambo hayo mpaka wakabidhiwe mke/mume na Mchungaji/Padre au Shehe.
 
Huo ni mtizamo wako tu,ndivyo unavyowaza.Lakini ukweli ni kwamba wanadamu tunaishi hasa kwa MAAMUZI.Ukiamua kutulia inawezekana kabisaaaaaaaaa. Binafsi nimeshuhudia watu ambao wanamaanisha wanachosema na hawafanyi mambo hayo mpaka wakabidhiwe mke/mume na Mchungaji/Padre au Shehe.

Ndio ni mtazamo wangu na wewe ulichoandika ndo mtazamo wako na ndivyo unavyowaza!

Unasema umeshuhudia watu wanaomaanisha wanachosema na hawafanyi mambo hadi waoe au waolewe. Okay, ulichoshuhudia hasa ni nini? Kwamba hawakumega au kumegwa? Kama ni hivyo, wewe una uhakika gani kama hawakumega ama kumegwa? Uliwafuatilia nyendo zao 24/7/365/366?

Au uliendana na kile walichokuambia wao na wewe kama ukaamini tu walichokuwa wakikwambia?
 
Ndio ni mtazamo wangu na wewe ulichoandika ndo mtazamo wako na ndivyo unavyowaza!

Unasema umeshuhudia watu wanaomaanisha wanachosema na hawafanyi mambo hadi waoe au waolewe. Okay, ulichoshuhudia hasa ni nini? Kwamba hawakumega au kumegwa? Kama ni hivyo, wewe una uhakika gani kama hawakumega ama kumegwa? Uliwafuatilia nyendo zao 24/7/365/366?

Au uliendana na kile walichokuambia wao na wewe kama ukaamini tu walichokuwa wakikwambia?

Saluuute! Kuthibitisha mtu ame do au la nje ya ndoa ni ngumu sana.Tendo linafanyika kwa siri sana. Ni rahisi sana kucheat kwa kuwa uthibitisho ni mgumu sana kupatikana.
 
Saluuute! Kuthibitisha mtu ame do au la nje ya ndoa ni ngumu sana.Tendo linafanyika kwa siri sana. Ni rahisi sana kucheat kwa kuwa uthibitisho ni mgumu sana kupatikana.

Precisely my point! Watu hufanya tendo hilo kwa siri ya hali ya juu. Unless umeshuhudia njemba iko juu ya kiuno hapo ndo unaweza kusema kwa uhakika lakini kama unaendana na ulichoambiwa hutajua ukweli halisi ni upi.
 
Precisely my point! Watu hufanya tendo hilo kwa siri ya hali ya juu. Unless umeshuhudia njemba iko juu ya kiuno hapo ndo unaweza kusema kwa uhakika lakini kama unaendana na ulichoambiwa hutajua ukweli halisi ni upi.

Ila mkuu pale uliposema ulimaliza mwaka bila kumega uli cheat! I can swear.
 
mama mdogo....
Tuache unafiki ...kwani wewe umemegana mara ya mwisho lini,unaweza ukakaa kwa muda gani bila ya ku'do'???...ndiyo swali hapa.hakuna mtu lisilomuhusu hapa..... mambo ya maendeleo yahusuyo nchi yetu hayana ishu....hatuwezi badilisha chochote....tumeshajichokea!!!!kama ukitaka subiri stori na mkuu live kwenye TV ....
 
Mpaka umeingia hapa, lazima nawe ilikugusa kidogo. Hayo mambo yanayoikabili nchi yetu hata uyazungumze vipi bila kubadili system iliyopo tutabaki tunaongea tu. Ni heri tujadili mambo yanayotugusa moja kwa moja. Tena mambo yanayohusu burudani kuu kuliko zote.


haya mambo hayana ucha mungu wala sias wewe habari za siasa umeingiaje kwenye mapenzi na uhusiano izi mada muhimu lazima tuziongelee, uvumilivu ni nafsi yako kwa kusema ukweli wanaume si wavumilivu kabisa hata miezi mitatu mingi sana anaweza akabaka ila kama ukiongea na moyo wako hakuna kinachoshindikana na hata wanawake vile vile ila wengi sana nio wavumilivu na hasa wakipenda na kuamini wamependwa sio sawa na sisi mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom