Muongo tu huyu. Hata kama anajiremba ina mana anajiremba 24hrs nijuavyo lazima kuna muda atakuwa yeye kama yeye na ni lazima utofauti angeuona tu.Hahahaa... Mwanamke ana tofauti kubwa sana na mwanaume ukianzia
Vinyweleo
Matiti
Mihemo
Sauti (sio sana)
Umbile(sio sana)
N.k
Sasa hakugundua yote hayo au ni ujanja ujanja.
kumtandika mwanaume mwenzio yataka moyoMuongo tu huyu. Hata kama anajiremba ina mana anajiremba 24hrs nijuavyo lazima kuna muda atakuwa yeye kama yeye na ni lazima utofauti angeuona tu.
Kuna kwenda kuoga ina mana huyo mwanaume akiwepo hajawahi kuvua nguo mbele yake.
Hebu atuache na uongo wake.
kumtandika mwanaume mwenzio yataka moyoMuongo tu huyu. Hata kama anajiremba ina mana anajiremba 24hrs nijuavyo lazima kuna muda atakuwa yeye kama yeye na ni lazima utofauti angeuona tu.
Kuna kwenda kuoga ina mana huyo mwanaume akiwepo hajawahi kuvua nguo mbele yake.
Hebu atuache na uongo wake.
Sasa hadi akamuoa si kwamba anaweza huko kumtandika. [emoji23]kumtandika mwanaume mwenzio yataka moyo
Muongo tu huyu. Hata kama anajiremba ina mana anajiremba 24hrs nijuavyo lazima kuna muda atakuwa yeye kama yeye na ni lazima utofauti angeuona tu.
Kuna kwenda kuoga ina mana huyo mwanaume akiwepo hajawahi kuvua nguo mbele yake.
Hebu atuache na uongo wake.
Nope there are HermophroditeHahahaa... Mwanamke ana tofauti kubwa sana na mwanaume ukianzia
Vinyweleo
Matiti
Mihemo
Sauti (sio sana)
Umbile(sio sana)
N.k
Sasa hakugundua yote hayo au ni ujanja ujanja.
Hii naiona kama zile tamthilia pendwa za Romanza. Mtu mpaka anaolewa/owa kumbe anampenda mtu mwingine; mwisho wa siku gegedo hakuna huyu analala chini yule kitandani na wako happy tu.
Sio kwa bongo asituone mazuzu. Kuna namna hapo wanajuana hao.
Hujamuona James Delicious weweHahahaa... Mwanamke ana tofauti kubwa sana na mwanaume ukianzia
Vinyweleo
Matiti
Mihemo
Sauti (sio sana)
Umbile(sio sana)
N.k
Sasa hakugundua yote hayo au ni ujanja ujanja.
Kwahiyo MAHALI ulipokea wewe? Maana wazazi wake au ndugu zake si wanajua kuwa mtoto wao ni mwanaume?Mwanaume mmoja mkoani Mtwara amekaa na mwanaume mwenzake miezi minne bila kujua.
Kwa mujibu wa maelezo mahusiano yalianza baada ya kukosea namba wakafahamiana mpaka wakafikia maamuzi ya kuoana huku akijua ni wa kike.
Baada ya kufata taratibu wawili hao wakaoana lakini tatizo likaja wakati wa kujamiiana mwenzake wakawa kilasiku anasema anaumwa ikawa hivyo ndani ya miezi mitatu ndipo akaja gundua kuwa ni mwanaume mwenzake.
Kuhusu mavazi anasema mwenzake huyo huvaa kama mwanamke na kupika pia anajua hata kujiremba anajiremba hali iliyo mpelekea kutogundua.