Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Njaa inakusumbua!!
 
Umegonga mule mule
Kuna muda nawaza nashindwa kupata jibu juu ya uwepo wa hawa viumbe, hawafanani kabisa na binaadamu ila wanapambana kufanana na binadamu, infact ni copy tu ya binaadam ila kiualisia sio kabisa!

Ukitaka kuishi nao hawa, atleast umfanye kua ndio mtoto wako wa kwanza, napo ataleta mambo ya hovyo tu hawezi kukuacha salama kabisa. Tofauti na hapo kataa ndoa ni mwendo wa KU' HIT & RUN

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Unawaongelea wale mafala ambao huwa mnawaokota huko mnako waokotaga halafu mnaanza kuwafundisha jinsi ya kuwapendeni?
 
Hela hampendi saiz vipi kuhusu handsome na six pack je,wafuga ndevu nao.

Wanawake mbona hamna msimamo.
Anaweza kusema kapenda ndevu zako, ukawa nae na akenda liwa na asie na ndevu kabisa ( and vice_ versa )

Unaweza kua na pesa za kumtosheleza kila kitu, hata ambavyo baba yake alivishindwa, akaenda kuliwa na mjinga mmoja na isitoshe, pesa zako hizohizo ndio atakua anamtunzia huyo fala

Unaweza ukawa na hizo six pack na ukakuta analiwa na jitu la hovyo kama hana kiriba tumbo basi ni lipolipo hata mazoezi hana

Hao ni akili kumkichwa ukiamua kua nae na kumdhibiti, ujue hata majini utaweza kuyamiliki

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare
Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Wanaume wa hivyo utawapata kwa mwakiembe na NGO's zake, wale wanaweza kufanya hayo yote

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Ngonjera tu hizi...hamna jema nyie
Wanawake wanapenda mwanaume anaejua kutmbn tu hayo mengne ziada tu we kuwa nayo yote hayo halafu shughuli huiwezi uone wasimamia ukucha wanavyokusaidia sanasan utapata heshma ya kinafki sababu unamhudumia
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
Wanaume Wana care Kwa mwanamke mwenye...

Tabia njema
Penzi tamu
Umbo lijalo mvutia
Rangi inayo mvutia nk...

Sasa kama wewe Kila kitu kipo bagadu sahau kupata hivo ulivo vitaja...lasivo lazimika uoneshe tabia njema na utii bila kikomo.

Kuna wanawake wa kujaliwa na wanawake wa kukiwa tu. Kila ajaye kwako ni kukutia tu na kuendelea na yake..Hadi pale utakapo onesha upendo kama uoneshao Kwa mwanao ndipo nao watakucare.
 
Mamboo

Wanaume mna sifa nyingi ila kuu ni moja ambayo kila mwanamke anataman awe naye ni huyu hapa

Mwanaume ambaye anajua kucare.

Mwanaume ambaye anajua kupenda yaani anajua nini mwanamke anataka naye ana mtimizia kwa wakati
Pia furaha mwanaume ambaye anampa furaha muda mwingi na pia hana masharti yakijinga
"Mwanaume ambaye anajua kucare"

Mm sijawai kua Romantic....

Pia
Bila
Picha
Huu
Uzi
Ni
Batili....

🤓🤓
 
Wanaume Wana care Kwa mwanamke mwenye...

Tabia njema
Penzi tamu
Umbo lijalo mvutia
Rangi inayo mvutia nk...

Sasa kama wewe Kila kitu kipo bagadu sahau kupata hivo ulivo vitaja...lasivo lazimika uoneshe tabia njema na utii bila kikomo.

Kuna wanawake wa kujaliwa na wanawake wa kukiwa tu. Kila ajaye kwako ni kukutia tu na kuendelea na yake..Hadi pale utakapo onesha upendo kama uoneshao Kwa mwanao ndipo nao watakucare.
Watasema hii ni body shaming mkuu, yan mtu kupenda chura wanasema unanyanyapaa wengine eti.
 
Back
Top Bottom