watoto wa wazazi nawajua sio wwNa me naweza kuwa ndugu
kweli mkuu; wanataka wahudumiwe ila wao hawajitoi kwetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kanuni safi
mpuuzi mpuuzi tu
umeonaa ee; na wenztu zawadi pekee ni papuchiUtavilipia tu
hard & naked truth
hahahahahha; kweli hata kamari wanataka utoe kidogo ili upate matokeo mazuri; sasa anakuzungusha papuchi sijui mpaka atafune mamilioniJaza ujazwe...!!
hahahahaha shuka tu; raha zote zipo hapa kwingine ni kuisoma namba"Eeeh mungu baba simamisha dunia nishuke"
Aslay.
ndo kanuni hiyo toa ubarikiwe baraka kama za ibrahim;;; no free luchKwaiyo nyii hamtoagi sadaka mpaka mlipwe
mara ya kwanza kuone ke inakataa ofa....Sipendi ofa mimi
Khaa maslei kwini ndiyo wanapenda ofa....mie mwenzangu na Mimi nipende ofa za ninimara ya kwanza kuone ke inakataa ofa....
hahahahahahha safi kabisa; i wish ningekutana na mwanamke kama ww; yaani kila mahali ukigusa unaambiwa matatizo mengi as if mwanaume huna matatizoKhaa maslei kwini ndiyo wanapenda ofa....mie mwenzangu na Mimi nipende ofa za nini
Usikurupuke kutongoza kwa kusukumwa na hisia zako sababu umeona tako kubwa...au karangi keupe ...au shepu ya dondora ...tumia akili kutafuta mwanamkehahahahahahha safi kabisa; i wish ningekutana na mwanamke kama ww; yaani kila mahali ukigusa unaambiwa matatizo mengi as if mwanaume huna matatizo
Yani kwamba tako lisinichanganye kabisa sio?Usikurupuke kutongoza kwa kusukumwa na hisia zako sababu umeona tako kubwa...au karangi keupe ...au shepu ya dondora ...tumia akili kutafuta mwanamke
wanaume wote duniani wanapenda vitu hivyo sema tukitaka kuoa ndo tunahamishia majeshi sehemu nyingine hizo zinabaki kuwa mchepuko....yaani mchepuko uliozidi njia kuu kila eneo;; maana siunajua shape hizo hazioleki....ni sawa na kuweka shamba la miwa karibu na wanafnziUsikurupuke kutongoza kwa kusukumwa na hisia zako sababu umeona tako kubwa...au karangi keupe ...au shepu ya dondora ...tumia akili kutafuta mwanamke
Utampata mwenye tako akakufanya kituo cha msaada utaweza???? Wanawake tunajijua mwenyeweYani kwamba tako lisinichanganye kabisa sio?
Utampata mwenye tako akakufanya kituo cha msaada utaweza???? Wanawake tunajijua mwenyewe
yaani umsaidie tu mwanamke; na unaona anaeleweka?? labda uwe shoga ndo hutamtaka; hata yeye ataenda kusema kwa wenzake jamaa domo zegeTumetofautina sana! Unajua kuna wanaume, mijanaume & vijanaume. Hasa ukiwa mwanaume, kumtoa mwanamke out, sijui kumsaidia mambo madogo madogo bure kabisa na hata usimtamkie, au kumuonesha kama unamtaka inawezekana kabisa . . . Sema nyie vijanaume na mijanaume haya mambo mnayachukulia seriously.
Aaanha basi nikupate kama weweUtampata mwenye tako akakufanya kituo cha msaada utaweza???? Wanawake tunajijua mwenyewe
Nimemjibu kutokana na alivyoulizakwani tako ni fursa ya kiuchumi