Mwanaume akupe lunch; dinner; nauli, bure bure tu?

Mwanaume akupe lunch; dinner; nauli, bure bure tu?

BMWsimba

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
347
Reaction score
512
Nimekuwa nikikutana na wadada wengi wanapenda kuniweka friend zone ila nimekuwa nawatolea nje au kuwatongoza na kama akinikatalia nampotezea kabisa maana sijawahi kuwa na rafiki mwanamke ambaye ni potential kivile yaani anaweza akasema nina hiki na wewe weka hiki mezani tusongeshe maisha; au nikawa friend na mwanamke then akawa yeye ndo ana add value kwangu sijaliaona hili,

ila inakuaje mdada unakuwa naye akiwa na shida za hapa na pale anakutafuta ila ukiomba mechi anaanza kutolea nje mara hunieshimu/mimi ni rafiki tu/nina mtu wangu...wakati anajua fika hakuna anachoweza nisaidia zaidi ya kunipa mzigo; na mbaya zaidi sijawahi kufikiria kumuomba msaada mwanamke na sijui ni lini itatokea zaidi ya kuomba naniliiii..

nimesema hii kwa sababu kuna dada wanapenda kueleza shida zao kwetu wanaume ila tukigeukia kutaka mahitaji yetu mnaanza kutuzungusha... sisi wanaume pia tuna ndugu/wazazi na marafiki wa kuwasaidia ; yaani unakuta mtu hata hashangai ninulie luch basi unatoa; weekend nitoe out unamtoa; bure bure bure tuuuuuu.. ni bora kama umpendi mwanaume usitake mali zake wala mda wake maana unampotezea mda wake.
 
Mmmh hivi hao watu wasio na mishipa ya aibu kwenye nyuso zao mnawapata wapi???
yaani unakuta mwanamke anataka vitu vingi na bado anaficha kpochi manyoya chake; sijui huwa wanawazaga nini
 
Ndio maana ni mwanaume..tena wengine hata haujaonana tayari anakuita dear juwa lazima uigharamikie
Hamjaonana unaitwa dear???? Hahahahahahahahaha hii kali
 
Nimekuwa nikikutana na wadada wengi wanapenda kuniweka friend zone ila nimekuwa nawatolea nje au kuwatongoza na kama akinikatalia nampotezea kabisa maana sijawahi kuwa na rafiki mwanamke ambaye ni potential kivile yaani anaweza akasema nina hiki na wewe weka hiki mezani tusongeshe maisha; au nikawa friend na mwanamke then akawa yeye ndo ana add value kwangu sijaliaona hili,
ila inakuaje mdada unakuwa naye akiwa na shida za hapa na pale anakutafuta ila ukiomba mechi anaanza kutolea nje mara hunieshimu/mimi ni rafiki tu/nina mtu wangu...wakati anajua fika hakuna anachoweza nisaidia zaidi ya kunipa mzigo; na mbaya zaidi sijawahi kufikiria kumuomba msaada mwanamke na sijui ni lini itatokea zaidi ya kuomba naniliiii..

nimesema hii kwa sababu kuna dada wanapenda kueleza shida zao kwetu wanaume ila tukigeukia kutaka mahitaji yetu mnaanza kutuzungusha... sisi wanaume pia tuna ndugu/wazazi na marafiki wa kuwasaidia ; yaani unakuta mtu hata hashangai ninulie luch basi unatoa; weekend nitoe out unamtoa; bure bure bure tuuuuuu.. ni bora kama umpendi mwanaume usitake mali zake wala mda wake maana unampotezea mda wake.
Kweli bro hakuna kitu cha bure. Yaani no free lunch. Hakunaga urafiki Kati ya mwanamke na mwanaume bila mapenzi otherwise mwanaume utaumia zaidi bila mapenzi hasa utatakiwa kutoa zaidi kuliko Yeye
 
"Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa pia" sijui kwanini wanasahau hii kauli eti nikulipie hadi kodi ya nyumba halafu unazingua zingua tu!!!
 
Back
Top Bottom