Mwanaume akupe lunch; dinner; nauli, bure bure tu?

Mwanaume akupe lunch; dinner; nauli, bure bure tu?

"Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa pia" sijui kwanini wanasahau hii kauli eti nikulipie hadi kodi ya nyumba halafu unazingua zingua tu!!!
yaani watu wengine kujiongeza ni zero
 
Back
Top Bottom