Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Unaweza kufanya hivyo na bado mtu akaja kubadilika.

Binadamu ni viumbe changamani sana kama alivyosema geniveros .
Sawa, lakini unapunguza risk.

Wengine tunasema binadamu anabadilika, hili ni kweli.

Lakini pia kuna matatizo ya ku rush into relationships na ndoa bila kujuana vizuri.
 
sana tu,somesha mnoo!!

nooo!let me tel uu kwa urefu
one year of rltnship alikua vizuri sana kimaisha,after marriage akayumba biashara zote akawa zero kabisa ndo mama mkwe alinikubali,maana nilimsimamia m alikua anakua km mwehu hv au anataka kujiua,kuna ishu nkafanya tukalipa madeni nilisimama nae kwenye hardship time mpk baada ya mwaka na nusu hivi akaanza kurevive!!
Alivyorudi kwenye Boom second time sasaaaa!!
Hapo ndo nilimjua wa rangi ipi sasa!!
Ndii wanaume wa kiafrika hao....

Wakipata fedha ndio utawajua tabia
 
Kuna watu wanaishi miaka hata 5 bila ndoa, wakifunga ndoa after a year ndoa chali, unabaki kushangaa. Kila siku kuna changamoto mpya na watu wanajifunza mapya Kila siku
Then hiyo ndoa ndiyo tatizo lenyewe. Labda mtu akishaoa tu anaona ana haki ya kufanya lolote.

Labda kinachotakiwa ni watu kukaa pamoja tu bila ndoa. Mtu akijifanya Zaidi mwingine anaondoka.
 
Ndiyo maana wengine wanaamua kuishi na mtu kanza kabla ya kuolewa.
mmmhh!alikataa na si unajua familia zetu hizi bila ndoa na side wadada ndoa tena tunatamanii ushamaliza chuo unataka kuolewa hapo tena uonekane we mwanamke!!
Kuna kumbukumbu yote namna alivyokusapoti pamoja na madhaifu yake?
Sana tu amenisapoti vitu vingi,Ila amebadilika mnoo!!
 
Sijampa mgongo Ila yy ndie alianza kubadilika Sana,nilipambana kimya kimya mnakaa four months hamukutani kimwili akirudi nikashirikisha wazee akiulizwa sababu za mabadiliko 'anajibu"basi tu nimemchoka nataka nitafute mwingine"hajanikosea wala nini!!

Mambo yalikua magumu na mie mwanangu akaanza kuumwa ghafla sasa nkaja DAR kumtibia ndo nilijiroga hapo"siku narudi niko nakuta bimdogo ndani kajaa tele kama pishi la Mchele"

Nikalala kwa jirani asubuhi nkarudi kwetuuu kwenye nyumba ya urithi wa mama angu mzazi!
Duh

Kuna tofauti kati ya kuwa na mchepuko....

Na kuuleta mchepuko ndani kwako

Dharau ya hali ya juu aisee

Halafu anapata guts za kukiambia urudi kwako?

Wapi?

Alipokuwa analala na mchepuko au???
 
Kuna watu wanaishi miaka hata 5 bila ndoa, wakifunga ndoa after a year ndoa chali, unabaki kushangaa. Kila siku kuna changamoto mpya na watu wanajifunza mapya Kila siku
Kweli kabisa na binadamu tuna usiri mno!!yani ukimuona unakataa kata kata utasema mie muongo!
 
[Unaaminiendoaros, post: 17388704, member: 224175"]mmmhh!alikataa na si unajua familia zetu hizi bila ndoa na side wadada ndoa tena tunatamanii ushamaliza chuo unataka kuolewa hapo tena uonekane we mwanamke!!

Sana tu amenisapoti vitu vingi,Ila amebadilika mnoo!![/QUOTE]

Unaamini ndoa bado ipo?
 
Then hiyo ndoa ndiyo tatizo lenyewe. Labda mtu akishaoa tu anaona ana haki ya kufanya lolote.

Labda kinachotakiwa ni watu kukaa pamoja tu bila ndoa. Mtu akijifanya Zaidi mwingine anaondoka.
Which is yo stand then?? Watu wakae muda mrefu wajuane ndio waoane au watu wasioane kabisa waishi tuuu, maana naona labda labda nyingiiii!!!
 
Duh

Kuna tofauti kati ya kuwa na mchepuko....

Na kuuleta mchepuko ndani kwako

Dharau ya hali ya juu aisee

Halafu anapata guts za kukiambia urudi kwako?

Wapi?

Alipokuwa analala na mchepuko au???
Mie kwa akili nilizonazo acha tu Heaven Sent aniambie nichukue na phd kabisa.
 
Which is yo stand then?? Watu wakae muda mrefu wajuane ndio waoane au watu wasioane kabisa waishi tuuu, maana naona labda labda nyingiiii!!!
Unasoma na kuelewa kwamba msimamo unatolewa katika context ya hii issue na majibu ya maswali ninayotoa?

Unafhamu kwamba, ukichunguza sana, hakuna kisicho na labda katika maisha haya?

Nitakosaje labda katika shauri la mtu nisiyemjua ambaye mawasiliano yangu naye yanaishia kwenye posts za JF?

Ningekuelewa kama ungeshangaa nimekosa labda.
 
Back
Top Bottom