Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Kuna watu wanaishi miaka hata 5 bila ndoa, wakifunga ndoa after a year ndoa chali, unabaki kushangaa. Kila siku kuna changamoto mpya na watu wanajifunza mapya Kila sikuNdiyo maana wengine wanaamua kuishi na mtu kanza kabla ya kuolewa.