Mwanasheria mkuu wa Serikali, Werema aungana na UKAWA

Mwanasheria mkuu wa Serikali, Werema aungana na UKAWA

... Kwahyo Wanakura Hela Zetu Bure, Kudadadeki, Kesho Tukalifunge Bunge Kwa Nguvu Ya Uma
 
“Mimi nawaomba ndugu zangu hawa wa Ukawa warejee bungeni kwani mchakato huu unahitaji ushirikiano wao,hebu tuajiulize sote tunaitaji mchango wa Tundu Lissu wakati wa kujadili masuala ya haki za Binadamu tunataka kujua yeye anasemaje lakini kukataa kuja seheme zingine s,nawaomba sana warudi jamani,wengine wajumbe hawa tunasali nao kanisani ikiwemo ndugu yangu Mbatia aje bwana bungeni”alizidi kusema Werema.

wakuu mm nimependa hapo alipomkubali hasimu wake tundu lisu
 
Werema sio mjinga aungane na wajinga

Amegundua ujinga wa wajinga wanaodhani 2/3 inapatikana kitahisi.

Nina uhakika mle BMK kuna wanaoamini mbili ya tatu inapatikana bila UKAWA.
 
Mwaka huu CCM watalazwa wengi milembe hasa Sita, naona watu wenye akili wote CCM wanajitoa katika uangamizaji wa fedha za wananchi huku wakielewa wazi kuwa katiba haitapatikana. Kwa kukubali kuendelea na unproductive constitution ni kuharakisha kuua CCM.
 
maneno mazuri kweli kweli! ndg yangu werema hapa ni kuelewana tu otherwise ni pesa kutumika bure
 
Ha..ha...haaa.Sita, Wassira Lukuvi chaliiii....

Kakobe aliwaambia habari ya mnara WA Babeli wakabisha. Ndo haya tunayaona sasa "JAJI WEREMA APINGANA NA IKULU ,ASEMA BILA UKAWA HAKUNA KATIBA"
 
Kua ccm kunahitaji akili ya punguani,watapinga kauli ya mwanasheria
 
Jaji werema ameongea maneno mazuli xana lkn niko na wax wax na yeye kwa vile na yeye anaingia kule kwa mzee Six kuchukua posho,kama yuko serios kweli ni bora akae nje ya BM NAPITA njia
 

Attachments

  • 1408202477936.jpg
    1408202477936.jpg
    26.8 KB · Views: 385
Last edited by a moderator:
Hii nchi inaelekea wapi?
Tanzania nzima hakuna mtu wa kuonyesha njia?
 
hao ndo ukawa bwana.unacheza nao?hakuna kulegeza kamba mpaka kieleweke na katiba yenye maoni ya wananchi lazima ipatikane
 
werema nae sometime hamnazo sasa kama mtu una sali nae ni kigezo cha kumshawishi arudi bungeni? ha ha ha.
 
Back
Top Bottom