BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Kumbe hata Werema analijua hili, kwamba bila kile "kikundi haramu" al maarufu UKAWA hakuna katiba mpya. Cha kujiuliza kama hili linajulikana kwa nini mapesa chungu nzima yanapotezwa kila siku kwa kulipwa kama posho huku ikijulikana fika hakutakuwa na katiba mpya bila UKAWA? Ni nani ndani ya MACCM mwenye mamlaka ya kusitisha Bunge la Posho kama Kikwete hana mamlaka hayo!? Ni werema, ni Migiro, ni Sitta au ni Kificho!?