Mwanasheria mkuu wa Serikali, Werema aungana na UKAWA

Mwanasheria mkuu wa Serikali, Werema aungana na UKAWA

Mpaka anambembeza hivyo kawa mpole. Mpaka anawakumbushia kwamba wanasali wote so what.
Hata mimi nimemshangaa leo, Mwanasheria mkuu, ambaye kwa taaluma yake ile nyingine ya 'professional boxer' amekuwa mpole kiasi cha kuwakumbusha na kuwasihi ukawa kuwa wanasali kanisa moja, kwa hiyo wakumbuke maandiko ya vitabu vya dini, vinavyosema sameheni mara 7 mara 70!

Huyo 'bondia' ambaye siku zote yeyote anayetofautiana naye mawazo, huwa anatishia kumpiga, amekuwa mpole vile, kiasi cha kuwasihi sana ukawa warudi bungemi, kwa kuwa bila wao hakuna katiba mpya!

Sasa tunasubiri kwa hamu kauli za kina Wassira, Lukuvi na Nape Nnauye, ambao walitamba sana siku za nyuma kuwa, kuwa kutoka kwa ukawa bungeni siyo issue kabisa, kwa kuwa idadi ya wabunge waliobaki kwenye BMK, inatosha kabisa kuandika katiba mpya!

Kwa bahati nzuri, kada wao mwingine Mwigulu Nchemba, alifunuliwa mapema maono na Mungu, kuwa idadi ile ya wabunge iliyopo bungeni, haiwezeshi kupatikana kwa 2/3 inayotakiwa kwa pande zote 2, za Tanganyika na Zanzibar, ile katiba ipite, lakini wakampuuza!
 
Ambao hatukukimbia hesabu tulijua hili mapema,,kuwa katiba mpya bila ukawa patupu. Wapo watanzania hawajui maana ya theluthi mbili yaani.
.
 
Hilo liko wazi sana maana hata Rais wa URT aliwahi kuwaambia kuwa katiba mpya itapatikana thru Ushawishi kwa Wajumbe wote wa Zanzibar na Bara otherwise theluthi mbili 2/3 haitatimia kwa wajumbe kupitisha hiyo katiba... Kama huo ndo ukweli kwanini wanaendelea kula fedha za walipa kodi huku wakijua kuwa mwisho wa siku katiba itakwama?.... CCM ni majanga zaidi ya Ebola kwa Watanzania...
 
Wewe Lumumba leoupo upande gani, tangu lini ukawatambua UKAWA?
Siwatambui UKAWA, na tafadhali note hiyo point.
Kwani Rasimu ya Katiba ilitengenezwa na UKAWA?
Hata hivyo ni wazi kuwa waliotaka kuchakachua Rasimu hiyo sasa wanaumbuka.
 
Ambao hatukukimbia hesabu tulijua hili mapema,,kuwa katiba mpya bila ukawa patupu. Wapo watanzania hawajui maana ya theluthi mbili yaani.
.
Watu wenye akili finyu wanashindwa kutambua kuwa UKAWA si lolote , si chochote.
Mambo yote ni Rasimu ya Katiba, na hiyo ilitengenezwa na wataalam wa sheria wakiongozwa na Jaji Warioba.
 
You get them rightly! Hata hivyo walisha sema ukawa wameshiriki kutunga sheria ya katiba na mjadara sura 1 n 6.
..haa haa wameona afadhali waendelee kuchota posho za watanzania wasiojitambua! Eti wakishindwa kupata 2 ya 3 ya wazanzibar watumie bunge la muungano. Hakika kinachoendelea dodoma ni uhalifu kama uhalifu mwingine wowote ule.
 
Werema hupaswi kutumia muda mwingi kuwabembeleza Ukawa,unapaswa wewe na serikali yako kujibu hoja za Ukawa.Ukawa hawataki kubembelezwa,wanataka rasimu itokanayo na maoni ya wananchi,na wako nje kwa sababu nyie hamtaki kujadili rasimu hiyo,mnataka kuleta ya kwenu wakubwa wachache wa nchi hii.
haa haa, mkuu uko sawa , niliposikia sitta akihamasisha pale dodoma wachakachuaji wenzake walete sura mpya za rasimu nilijuwa watanzania tumekwisha, hakuna katiba mpya bali mazingaombwe ya kichagizwa na utafunaji posho basi.
 
..haa haa wameona afadhali waendelee kuchota posho za watanzania wasiojitambua! Eti wakishindwa kupata 2 ya 3 ya wazanzibar watumie bunge la muungano. Hakika kinachoendelea dodoma ni uhalifu kama uhalifu mwingine wowote ule.

Wanaiba pesa za walipa kodi mchana kweupe. Daylight robbery pure and simple.
 
Watu wenye akili finyu wanashindwa kutambua kuwa UKAWA si lolote , si chochote.
Mambo yote ni Rasimu ya Katiba, na hiyo ilitengenezwa na wataalam wa sheria wakiongozwa na Jaji Warioba.
kwii kwii kwii, vipi huyo werema mbona analialia tu haeleweki?
 
Wanaiba pesa za walipa kodi mchana kweupe. Daylight robbery pure and simple.
..ni kweli mkuu, na inasikitisha sana, yaani vijijini barabara mbovu, hakuna maji safi na salama, huduma za afya mbovu, halafu watu wanagawana mamilioni kwa uchakachuaji wa maoni ya watanzania huku viongozi wakishangilia. Watanzania kama kweli bado tunalipenda taifa letu, ccm kwa hili must go..
 
haa haa, mkuu uko sawa , niliposikia sitta akihamasisha pale dodoma wachakachuaji wenzake walete sura mpya za rasimu nilijuwa watanzania tumekwisha, hakuna katiba mpya bali mazingaombwe ya kichagizwa na utafunaji posho basi.

Hivi huko mbele ya safari haiwezekani Mr Six kushtakiwa kwa uhalifu huu anaofanya hivi sasa?

 
Nasubiri kauli ya Mwanasheria mkuu wa chama chetu CCM Mh Ndg Nape Nnauye. Mie huwa namfananisha sana na Marehem Tarikh Azizi msemaji mkuu wa ile serikali ya Sadam Hussein

Alikuwa anaitwa Mohammed Al Saaf
 
Tatizo kubwa la chama kinapoongozwa kwa rushwa na tamaa ya fedha. CCM kwa kuwa mambo yao yote, ukianzia na uchaguzi, huongozwa na rushwa ya fedha, walikuwa na uhakika kabisa kuwa pesa ile ya posho ya laki 3 kwa siku, lazima wajumbe wengi wa UKAWA wasingekuwa na uwezo wa kuiachia, laima wangeenda Bungeni.

CCM walidhani wajumbe wengi wa UKAWA wangekuwa na tamaa ya hela kama ya Shibuda na Arfi, kumbe katika nchi hii bado kuna watu ni wazalendo, wanaoona kuwa utu na uzalendo havipimwi wala kununuliwa kwa pesa.

Wabunge wa CCM, pesa wamepata lakini heshima na utu kwa umma wamevikosa. Lakini kwa vile akili yao ni ndogo, hawataahirisha, wakiamini kuwa wakipata posho nyingi, wataitumia kuwahonga wapiga kura ili warudi tena bungeni 2015. lakini watastaajabu, maana hawa wevi ni lazima majina yao yatangazwe nchini kote, kama watu wenye tamaa walioliibia Taifa, walioamua kuuza utu wao kwa vipande vya fedha. Hivyo hawawezi kupata vyote, wamepata fedha, na sasa watakosa heshima na kuaminiwa na Watanzania. Wasubiri kupigiwa kura na waokota makombo wa hizo posho, familia zao, wevi wenzao, na walamba miguu yao waliokosa uzalendo kwa Taifa lao.

haa haa, mkuu uko sawa , niliposikia sitta akihamasisha pale dodoma wachakachuaji wenzake walete sura mpya za rasimu nilijuwa watanzania tumekwisha, hakuna katiba mpya bali mazingaombwe ya kichagizwa na utafunaji posho basi.
 
Hilo liko wazi sana maana hata Rais wa URT aliwahi kuwaambia kuwa katiba mpya itapatikana thru Ushawishi kwa Wajumbe wote wa Zanzibar na Bara otherwise theluthi mbili 2/3 haitatimia kwa wajumbe kupitisha hiyo katiba... Kama huo ndo ukweli kwanini wanaendelea kula fedha za walipa kodi huku wakijua kuwa mwisho wa siku katiba itakwama?.... CCM ni majanga zaidi ya Ebola kwa Watanzania...

let them bring another draft! So that we can discuss document and not waiting time on discussing process.
 
Tatizo kubwa la chama kinapoongozwa kwa rushwa na tamaa ya fedha. CCM kwa kuwa mambo yao yote, ukianzia na uchaguzi, huongozwa na rushwa ya fedha, walikuwa na uhakika kabisa kuwa pesa ile ya posho ya laki 3 kwa siku, lazima wajumbe wengi wa UKAWA wasingekuwa na uwezo wa kuiachia, laima wangeenda Bungeni.

CCM walidhani wajumbe wengi wa UKAWA wangekuwa na tamaa ya hela kama ya Shibuda na Arfi, kumbe katika nchi hii bado kuna watu ni wazalendo, wanaoona kuwa utu na uzalendo havipimwi wala kununuliwa kwa pesa.

Wabunge wa CCM, pesa wamepata lakini heshima na utu kwa umma wamevikosa. Lakini kwa vile akili yao ni ndogo, hawataahirisha, wakiamini kuwa wakipata posho nyingi, wataitumia kuwahonga wapiga kura ili warudi tena bungeni 2015. lakini watastaajabu, maana hawa wevi ni lazima majina yao yatangazwe nchini kote, kama watu wenye tamaa walioliibia Taifa, walioamua kuuza utu wao kwa vipande vya fedha. Hivyo hawawezi kupata vyote, wamepata fedha, na sasa watakosa heshima na kuaminiwa na Watanzania. Wasubiri kupigiwa kura na waokota makombo wa hizo posho, familia zao, wevi wenzao, na walamba miguu yao waliokosa uzalendo kwa Taifa lao.

Nimeipenda hii
 
wakuu naomba kuuliza ivi kwa tanzania kauli ya ikulu na ya mwanasheria ipi ni ya mwisho maana kama ikulu inazidiwa na mwasheria wa serikali katika kujibu hoja?

sasa kama baba wa familia hajitambui si kila m2 atajiita baba
 
Back
Top Bottom