Jaji Werema amemwandikia mhe.rais kujiuzuru nafasi yake kwa sababu ushauri wake ulitafsiriwa vibaya na kulisababishia taifa hasara.
chanzo:channel ten habari
Jaji Werema amemwandikia mhe.rais kujiuzuru nafasi yake kwa sababu ushauri wake ulitafsiriwa vibaya na kulisababishia taifa hasara.
chanzo:channel ten habari
dah nmesikia kikwete kamshukuru kwa utumishi uliotukuka!
Nasikia anatembelea nyota ya jina lake. Kwa kihaya Tibaijuka linamaanisha hawakumbuki
wezi wengine wamekomaaWezi wengine vipi wamegoma kujiuzulu?
Kazi ipo. Tibaijuka bado katulia tu na 1.6b
Ajihudhuru = Ajihuzulu