GreatSeal
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,773
- 3,061
Lakin kwa historia tu ana bahati ya mtende kila kesi anayokuwa nayo huchomoka mapema,,,kumbukeni hiliKwamba hata katika dunia ya ‘waliostaarabika’ unaweza kushindwa uchaguzi ila bado ukakomaa na kutafuta kila namna ya kuendelea kubaki Ikulu
Trump hana evidence ya maana. Kapigwa popular votes na zile za majimbo/electoral votes. Hizo kesi zake ataaibikia kwa mara nyingine tena