Hawezi kuwa bavicha huyo.😀Akili za bavicha mnazifamu wenyewe!
Sasa picha za nini sasa na kipozi kiboya chako!?
suruali Kama dancer wa koffi olomideHahahhaa mm white trouzer kwakweli hapana siongizani na ww kbsaa khaa
Maombi ni njia sahihi zaidi kama hilo tatizo ni sugu...Pole ni tatizo kwa watot wengi.
Hata mimi nina wa kwangu ten yrs.
Ni kikojzi vibaya.
Nafanya hivi kuanzia sa moja asinywe
Juis wala maji namuasha mara 2
Ana miez2 hajakojoa.
Uzito wa kuelewa linawapata vikojoz wengi
Ila wa kwangu amebadlika sas ameanza na kupata A darasani.na pia kusinzia darasani ni limpeleka pia kwnye maombi.
Usimpige wakati mwingine adui
Tutake radhi wasukuma, huyo atakuwa mnyakyusawe utakuwa msukuma si bure mana sio kwa mapicha picha haya
Umeona mchongoko chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mipicha ya nn humu na moka white?
ukimuendekeza huyu hako katabia atatambaa nako mpaka anakuwa mtu mzima,ila kwa hiyo picha yako nadhani uendelee kuchukua maoni yatakoyokuhamasisha kuacha kutuma picha zako humuMpe matikiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja na wanyakyusa wakujieTutake radhi wasukuma, huyo atakuwa mnyakyusa
ukimuendekeza huyu hako katabia atatambaa nako mpaka anakuwa mtu mzima,ila kwa hiyo picha yako nadhani uendelee kuchukua maoni yatakoyokuhamasisha kuacha kutuma picha zako humu
Umeona mchongoko chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
we utakuwa msukuma si bure mana sio kwa mapicha picha haya
suruali Kama dancer wa koffi olomide
Duh kama unakapicha kahiyo loafers ungekatupia ili nianze kujipigilia namimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kma vilitaka fanana na vyako[emoji23][emoji23]
Jamani hakuna kiatu kinampendeza mwanaume kama Loafers jaman..yaan mnapend3za sana jaman hamjui tu..mimoka hii mm marufuku kbs
Tutake radhi wanyakyusa huyo labda atakua mmanyema[emoji23]Tutake radhi wasukuma, huyo atakuwa mnyakyusa