Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,340
Mkuu ile mimi ndo niliona njia sahihi msumbufu sana yule...wewe kweli Wakuacha kama lilivyo jina lako.
yaani pesa ipite kwa mama yako ndo ifike kwa mzazi mwenzio?
hivi siku ulipokuwa unam-mimba huyu dada mama yako alikuwepo ama alijua?
kwann usitafute njia nyingine nzuri zaid na ili asimlee mwanao kwa jeuri na kiburi kuliko hii?
ukweli nakufungulia uzi aisee