KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Wanawake akili yenu inawatosha wenyewe uwezi kuniletea jeuri na kiburi cha kishenge eti kisa una mtoto wangu unajua nitakuhudumia tu.Kwanini amlipize mama kwa mtoto? ugomvi wake na mama wa mtoto unamuhusu nini. Kuna njia nyingi tu za kumtunza mtoto hata kama hutaki kuonana na mamaake kama kweli hutaki kumtelekeza. Mnaendekeza ujinga tu kutelekeza watoto wasio na hatia.
Binafsi nitakupa optional ya kunipa mtoto wangu nilee mwenyewe...!
Mwanamke akili zake km mtoto ukute jamaa kafanyiwa visa weeh baada ya mimba mnajifanya kunyenyekea mkome tamaa zenu badala ya kukomaa kutafuta pesa mnaendekeza tamaa kupenda mtelemko.