ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
hakuna mtu ninaempenda kama wanangu.. ingawa siishi na wazazi wao lakini nahakikisha kile ninachokipata nagawana nao. lakini kwa wewe mleta mda umefanya kitu ambacho sidhani kama ni sahihi. Unakwenda kulia kanisani kwa sababu ya hawara? unamuweka Mungu katika kundi la kuwAonea huruma wanaokwenda kinyume na amri zake? Lakini siwezi kukuhukumu kwa kuwa najua umechanganyikiwa na hili.
SIMAMA IMARA NA UTAMBUE KUWA WAPO WANAWAKE WANAOTESEKA NA KUUMIZWA ZAIDI YAKO. USIKUBALI CHOZI LAKO LENYE THAMANI LIKUTOKE KWASABABU YA MTU ASIYETAMBUA THAMANI YAKO.
SIMAMA IMARA NA UTAMBUE KUWA WAPO WANAWAKE WANAOTESEKA NA KUUMIZWA ZAIDI YAKO. USIKUBALI CHOZI LAKO LENYE THAMANI LIKUTOKE KWASABABU YA MTU ASIYETAMBUA THAMANI YAKO.
Viuno