Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli

!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
Watu kam nyinyi sijui ni wa aina gani hapa duniani.Mange awe nabii nani kakudanganya?swala la babu seya kila mtu alikua anaongea hapa nchini afu we useme Mange aitwe Nabii??people wengine sijui mlitokeaga wapi
 
Back
Top Bottom