Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
Leo kwa kwelii....my president umeutendea moyo wangu Hali daaah nafura mno
Acha uropokaji dogo!Tunampiga risasi Tundu Lissu tunamwachia Babu Seya.
Kabisa!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
Tunampiga risasi Tundu Lissu tunamwachia Babu Seya.
Kwa lipi hiloMagufuli kipenzi cha Mungu
hivi hawa mademu walikua watoto wa nani?Sema mademu
Mbona walishakua raiaSidhani kama watakaa tena Tanzania hii
Safi sanaaaaaYametimia katika sherehe za Uhuru 2017. Katiba ya JMT Ibara ya 45 yatumika.
Karibuni kwa maoni na povu.
Watu kam nyinyi sijui ni wa aina gani hapa duniani.Mange awe nabii nani kakudanganya?swala la babu seya kila mtu alikua anaongea hapa nchini afu we useme Mange aitwe Nabii??people wengine sijui mlitokeaga wapi!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
Safi kabisaLowassa sera yake imezingatiwa