Isenye
JF-Expert Member
- Dec 22, 2024
- 486
- 2,069
Kuna msichana wangu anasoma mwaka wa pili hapo CBE.
Nimemualika aje ghetto,pamoja na mambo mengine nikamka jiko anipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu mwenyewe anajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo atapika nini kama tu wali umemshinda.
Nimemualika aje ghetto,pamoja na mambo mengine nikamka jiko anipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu mwenyewe anajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo atapika nini kama tu wali umemshinda.