Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,818
Sikupingi mkuuDemu mwenyewe atakua na sup maana saivi ndo wanazifanya!
Sikupingi mkuuDemu mwenyewe atakua na sup maana saivi ndo wanazifanya!
Ulitaka utundu akaupatie wapi mkuu?Asilimia kubwa ya videmu vya chuo havina utundu, kinachowabeba ni mavazi na labda uzuri wao na tamaa zetu wanaume.
Ila kwa bed wengi ni 0, si ajabu hata huo utundu kidogo kaujulia hapohapo chuo.
Hatari sanaKape kajaribu kupika chai na mboga majani mkuu labda kamsichana kako kanaweza kuipika vizuri
ungemwambia leo unamfanyia surprise then agiza msosi wa kfc ili kuepusha tumbo lako na balaa!Kuna msichana wangu anasoma mwaka wa pili hapo CBE.
Nimemualika aje ghetto,pamoja na mambo mengine nikamka jiko anipikie wali na nyama.
Aise wali haujulikani ni wali au ugali mboga ina chumvi halafu mwenyewe anajisifia eti chakula kitamu.
Nawaza leo atapika nini kama tu wali umemshinda.
yalaaaa! Kumbe na wewe umo ila hauvumi? Aisee! haya bhana!Vipi kuhusu kukatika
Nimetoa maoni kua hawana utundu, mahali pa kuupatia mnajua wenyewe.Ulitaka utundu akaupatie wapi mkuu?
Ahakikishe anajua sasa