funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Ndio ununue magari yote hayo? Idadi hiyo ya magari ni kwa mtu mwenye familia sio aliyeko single. Jitafakari ndugu yangu unaonekana huyo binti amekutesa sana na huoni mbele bila yeye. Ingawa umetudanganya kwenye hayo magari naomba nikupe scenario nyingine je tuseme huyo dada ukamchukua halafu akakutana na mtu ana LC 300 VXR si atakumwaga na hivyo vi-baby walker vyako. Demu hakutaki tafuta mwanamke sahihi u-move onNiimemaliza Chuo mwaka 2018 nikaoetea dili kadhaa za pesa na kabla sijafanyia pesa jambo lolote nilikuwa na ndoto ya magari kwanza.
Nimeandika mengi kukusaidia dogo