Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi.

Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi.

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi, ambaye alikuwa akiteseka kwa miaka mingi baada ya figo yake kufeli.
 

Attachments

  • Screenshot_2025_0813_151445.jpg
    Screenshot_2025_0813_151445.jpg
    179.1 KB · Views: 14
Habari ingekuwa "mke mkubwa ampiga kofi mke mdogo" Huu uzi ungejaa replies za kutosha......wabongo tunapenda taarifa negative sana na ndo sababu maisha yetu magumu pia.
Mioyo yetu imekosa ile abundance,vifua vyetu vimesheheni chuki,scarcity na Roho nyeusi.....ona hapo juu wengine wanashangaa eti.
 
Back
Top Bottom