Bado nakusanya mifugo ya kuwaletea huko jijini kwenu ili kuwanusuru na wale kuku waliofia kwenye mabanda ya wafugaji wa dar na ile mishikaki ya mbwa waliogongwa na magari nataka nikuletee kitu jogoo geniun siyo unakula broiler matokeo yake vitambi kama ndoo sawa Bitoz nyangema?
Bado nakusanya mifugo ya kuwaletea huko jijini kwenu ili kuwanusuru na wale kuku waliofia kwenye mabanda ya wafugaji wa dar na ile mishikaki ya mbwa waliogongwa na magari nataka nikuletee kitu jogoo geniun siyo unakula broiler matokeo yake vitambi kama ndoo sawa Bitoz nyangema?
Hahahahaaa wa bush bhana hakuna aloumbiw shida na matatizo hayazoeleki wewe tumia nguvu mm natumia akili tifauti mm nakula kama moja ya starehe we unakula ili tumbo lijae tofaut
Tatizo lao kubwa na % kubwa sana ya wanawake wa Dar na Mijini kwa jumla weng ni Fake, unakuta..
Nywele za bandia,
Kope za macho bandia,
Ngozi full mkorogo, mzungu si mzungu mchina si mchina yaan n Fake,
Makalio full adjuste Fake,
Ipsi full machemical Fake,
No kope n full wanja Fake,
ha ha haaah!, naona match ni kati ya "DAR Vs MIKOANI". Ha ha haaah!, wamikoani siku mabasi yakigoma kuwashushia ubungo ujue wote watapotea njia, ha ha haaaa aaaaah!. Mi simo kwenye ugomvi aisee!
Gomeni kuleta mazao yenu sisi tuntaagiza nchi za nje tuna mapene wala hatulimi....
Wamikoani wahafu km mifugo yenu....
Eti tunajadili kina Diamond, nyie ambao hamjawahi ht kuona shoo yKe live au mnacheki TV zenu za chogo mtajua ht Harmonize?
Eti tunaazima magali, mbona mnaazima baiskeli huko kwenu
Nyinyi mnamiliki NOKIA ZA TOCHI selfie labda mpige kwa site mirror za bodaboda tu
NB:
MAasimango yakizidi gomeni kulima ili mfe njaa!!