Mwanamke wa Dar

Kweli mjini ni mjini tu hata ukiwa unasombwa na mafuriko uimbe huo Wimbo sawa Bitoz nyangema?
Huku ndo kwa wajanja....
Nyie endeleeni kilimo .
Huku jiji la starehe
 
Wajanja mnabwia unga kama matokeo yake nguvu kazi ya taifa inapotea eti ujanja kujichubua kama dada zenu
 
Bado nakusanya mifugo ya kuwaletea huko jijini kwenu ili kuwanusuru na wale kuku waliofia kwenye mabanda ya wafugaji wa dar na ile mishikaki ya mbwa waliogongwa na magari nataka nikuletee kitu jogoo geniun siyo unakula broiler matokeo yake vitambi kama ndoo sawa Bitoz nyangema?
 
Hatutaki mifugo yenu michafu labda muiogeshe na kuivalisha boxer isichafue mazingira
 
Mifugo gani michafu inapanda usafiri kitu SCANIA R420 acha kula mishikaki ya mbwa waliokufa kibudu utakuja kubweka siku moja ukiwa unabwia unga
 
Hahahahaaa wa bush bhana hakuna aloumbiw shida na matatizo hayazoeleki wewe tumia nguvu mm natumia akili tifauti mm nakula kama moja ya starehe we unakula ili tumbo lijae tofaut
 
Tatizo lao kubwa na % kubwa sana ya wanawake wa Dar na Mijini kwa jumla weng ni Fake, unakuta..
Nywele za bandia,
Kope za macho bandia,
Ngozi full mkorogo, mzungu si mzungu mchina si mchina yaan n Fake,
Makalio full adjuste Fake,
Ipsi full machemical Fake,
No kope n full wanja Fake,
 
Nywele bandia kucha bandia kope bandia rangi ya ngozi bandia makalio bandia sasa hao ni wanawake au wewe Bitoz nyangema
 
ha ha haaah!, naona match ni kati ya "DAR Vs MIKOANI". Ha ha haaah!, wamikoani siku mabasi yakigoma kuwashushia ubungo ujue wote watapotea njia, ha ha haaaa aaaaah!. Mi simo kwenye ugomvi aisee!
Nini ubongo washushe popote cc ndo wanaume wa arusha
 
Cyo wote mmkuu wengine tunajielewa vitu ka cmu ni vitu vya kawaida sana na cyo wote wa mikoani niwakulima ama wafugaji ila cyo mbaya ni mtazamo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…