Mwanamke usiniulize haya..!

Mwanamke usiniulize haya..!

ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Lakini aulize my everything โ™ฅ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Sijui ni mimi peke yangu ama huenda nikawa nawakilisha wanaume wenzangu wawili, watatu, watano, kumi au mia (sijui)...

Binafsi, hakika kuna maswali huwa sipendi kabisa kuulizwa, hasa katika mahusiano!!! Huenda ni kasumba mbaya (nisamehewe na kushauriwa pia, nisishambuliwe na kusimangwa), na PILI, yaweza kuwa ndivyo tulivyoambiwa (Hapa pia tusamehewe na tusilalamikiwe)...

Nachukia sana maswali kama na/au yanayofanana na haya...
  • Uko wapi...
  • Uko na nani...
  • Unafanya nini...
  • Ulikuwa wapi...
  • Ulikuwa unafanya nini...
  • Ulikuwa unaongea na nani...
  • Unarudi sangapi...

Si kwamba maswali haya sio ya muhimu. Napenda kuyajibu lakini yasiulizwe moja kwa moja kama yalivyo!!! Kuna mbinu ambazo zikitumika naweza tu kutoa ushirikiano... Lakini yakija na "ukavu" huohuo, huwa naishia tu kukwazika!!!
Usipopenda kuulizwa nawe usiulize mwache awe huru azurure atakavyo subiria arudi muda anaotaka
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. [emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
Lakini aulize my everything [emoji813] weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn [emoji3059][emoji3059][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Lakini aulize my everything โ™ฅ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Sa kwa nini na wewe uwe na pisi mbovu ๐Ÿ˜ƒ
 
Dah! Watu tuko tofauti sana, mimi nikiulizwa unataka kula nini leo hapo tayari ameharibu siku yangu, huo kwangu huwa nahisi ni mtihani mkubwa kuliko wa kidato cha nne.
 
Sijui ni mimi peke yangu ama huenda nikawa nawakilisha wanaume wenzangu wawili, watatu, watano, kumi au mia (sijui)...

Binafsi, hakika kuna maswali huwa sipendi kabisa kuulizwa, hasa katika mahusiano!!! Huenda ni kasumba mbaya (nisamehewe na kushauriwa pia, nisishambuliwe na kusimangwa), na PILI, yaweza kuwa ndivyo tulivyoambiwa (Hapa pia tusamehewe na tusilalamikiwe)...

Nachukia sana maswali kama na/au yanayofanana na haya...
  • Uko wapi...
  • Uko na nani...
  • Unafanya nini...
  • Ulikuwa wapi...
  • Ulikuwa unafanya nini...
  • Ulikuwa unaongea na nani...
  • Unarudi sangapi...

Si kwamba maswali haya sio ya muhimu. Napenda kuyajibu lakini yasiulizwe moja kwa moja kama yalivyo!!! Kuna mbinu ambazo zikitumika naweza tu kutoa ushirikiano... Lakini yakija na "ukavu" huohuo, huwa naishia tu kukwazika!!!
Mimi ambalo silipendi kupita yote ni unarudi saa ngapi ..nachukia kweli hasa shida za usafiri hapa mjini
 
ukiulizwa uko wap na pisi mbovu ni kelo tu siku zote. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Lakini aulize my everything โ™ฅ weeeee ni unyama tu nawaza anataka show nn ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
ila matumizi ya l na r ni janga la taifa
 
Kama mwanaume ni muhm kutokutabrka maswali kama hayo hatujibu ni mtego wanawake wote dunian nima-FBI
 
Sijui ni mimi peke yangu ama huenda nikawa nawakilisha wanaume wenzangu wawili, watatu, watano, kumi au mia (sijui)...

Binafsi, hakika kuna maswali huwa sipendi kabisa kuulizwa, hasa katika mahusiano!!! Huenda ni kasumba mbaya (nisamehewe na kushauriwa pia, nisishambuliwe na kusimangwa), na PILI, yaweza kuwa ndivyo tulivyoambiwa (Hapa pia tusamehewe na tusilalamikiwe)...

Nachukia sana maswali kama na/au yanayofanana na haya...
  • Uko wapi...
  • Uko na nani...
  • Unafanya nini...
  • Ulikuwa wapi...
  • Ulikuwa unafanya nini...
  • Ulikuwa unaongea na nani...
  • Unarudi sangapi...

Si kwamba maswali haya sio ya muhimu. Napenda kuyajibu lakini yasiulizwe moja kwa moja kama yalivyo!!! Kuna mbinu ambazo zikitumika naweza tu kutoa ushirikiano... Lakini yakija na "ukavu" huohuo, huwa naishia tu kukwazika!!!
Mkuu tupunguze mfumo dume wakat mwingine..
Hivi mpaka karne hii kuna mwanaume akiulizwa yote hayo anahisi mwanamke wake anampanda kichwani?
Kwa mwanamke anaeuliza ni kwamba anajali , Na siku ukiacha kuulizwa hivyo jua ushachokwa mzee , na utaona utofaut mkubwa sababu mapenz yatakua hakuna tena kinachowaweka n mazoea tuu.
 
Nikiwa nina ugomvi nae wala simuulizi lolote...
Ikiwa tupo normal .
Nakuuliza kulingana na najua ulipo.
Kama
Ushatoka kazini
Umekula leo
An soo on
 
Back
Top Bottom