Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
umalaya huoooo, we kama si changu sijuiii?
 
Hahahahahah kuna muhuni Fulani wa hapa skani kwetu mchafu chafu hana mbelebwaka nyuma anamiliki lenovo ya mwaka 2014 Je imechakaa screen imepasuka

Je huyu utampa mzigoo
 
Umeonaeeeee. Haya nambie na mie niambie tu nijue Hajar mie ndioo niambieee. [emoji12] [emoji12]

Wewe kwani watumia Tecno pia. [emoji85] [emoji85]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mi natumia kitochi kabisaa, sasa hapo nikikuambia ambia si ndio utanitoa mbio kabisa au itakua kama ya yule mdosi kwenda kunishtaki kwao, sasa kaka zako hawakawii kutoka na "mguu wa kuku"😀😀😀
 
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Na ukumbuke kwamba sio kila mtu anababaika na matoleo ya simu, watu wana mambo mengi ya kufanya ambayo ni ya msingi kuliko hizo version za simu shubalamamamiti..
 
Back
Top Bottom