tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,326
Mie naona kaja kuwatania kama kawaida yake.
Sababu watu wanaotumiaga Tecno ni wengi sanaa kuliko kawaida.
Kwakweli inabidi wanaume wajue kritika ni mtani wao wasimmaindi.
Mie naona kaja kuwatania kama kawaida yake.
Sababu watu wanaotumiaga Tecno ni wengi sanaa kuliko kawaida.
Kabisaaaaa.Kwakweli inabidi wanaume wajue kritika ni mtani wao wasimmaindi.
Tunawaelewa sana, kilichobaki tunawaangalia tu mnavyohangaika na kujibalaguza bila malengo.Hahahaaa. Umeyajulia wapi haya jamaani rafiki lol. [emoji85] [emoji85]
Wewe mwenyewe unakaribia kuwa tecno tochi.subiri iongezeke miaka miwii mitatu uone jonsi utakavyokuwa umezeeka.utakula dharau zakoNakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii
Muwe na siku njema
Orodhesha vigezo vyako mkuu, maana nasubiri utangaze kupokea maombi niapplyMmmmh sawa dada, ila mie huwa nina vigezo vyangu na simu haina nafasi
Wala usimtafute uje umuharibie future yake kwa kuwa na mwanamke aina yako.Live yan majuzi nilikutana na kaka very handsome Yuko smart khaaa kuja kucheki sm anayo tumia eti tecno Lol....cjamtafta mpka Leo nlmshusha viwango vyote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfundeni mwanamke mwenzenuHadi simu mnakagua?
Kama yote[emoji23][emoji23] na kitecno changu hahhaha y-3Hahahahaa kritiiiiiii