Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Kitrika kitrika hahahaha lait mamaako angekuwa anampima baba ako kwa simu anayomiliki huenda kuwa usingezaliwa na kuandika huu utumbo.
 
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema


Nimeshakujuwa wewe ni mtu wa namna gani basi hata salaam zangu hutozipata nikikuona na ukome kuniomba tena lift. Mwanamke gani mwenye tamaa za kijinga, unakagua hata simu? Ndo nyie mnaoliwa tigo kisha kuachwa solemba huku mkilia na kutojuwa kwanini mnaachwa na kuhisi mna mikosi kumbe mkosi wenyewe ni wewe. HAKUNA mwanamme anayependa mwanamke mcharuko hata siku moja.
 
HAHAHAAA UNAMAANISHA NA MIMI NISIYE NA SIMU NDIO HATA SITI MOJA HAMKAI NAMI KTK SAFARI....KUMBE STANDARD OF LIVING NOW MNAPIMA NA UMILIKI WA CM....ENHE NDIO UNATAKA AWE AMESHIKA ITEL AU HUAWEI MANA NDIO LEVEL YETU NASI TULIO WENGI
 
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Uzuri ukificha Wewe, wenzako wanazitoa tu kama kawa....
 
hahaa kwenye TECNO unapata kila kitu,yani TECNO ni replica ya apple,samsung .wachina watatawala dunia soon.
 
Back
Top Bottom