Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Mwanamke unawezaje kufanya huu ujinga?

Sasa mbona wanicheka Hajar😛😉 hebu nipe mbinu zaidi nikaazime simu gani halafu ndi nije?
Hahaaa. Ujue nimecheka nini Sesten kwani na mie natumia simu ya kawaida ka wewe hivyo kuniweka kwenye daraja kubwa ndio kuliko nichekesha.

We jipange tu namna ya kuniambia ambia ili nipate kukuelewa hayo ya simu achana nayo. Teh teh
 
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Naomba kujua bei yako short time yaani kile cha fasta na kulala mpaka kesho ni shilingi ngapi?
Kama nauli ya kuja nitatoa mimi hilo toa kwenye Hesabu.


_Jf Mtawangu
 
Y
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Yako ina Tv ndani
 
Hahaaa. Ujue nimecheka nini Sesten kwani na mie natumia simu ya kawaida ka wewe hivyo kuniweka kwenye daraja kubwa ndio kuliko nichekesha.

We jipange tu namna ya kuniambia ambia ili nipate kukuelewa hayo ya simu achana nayo. Teh teh
Weeeraaa weraa, ngoja nifanye mazoezi ya mistari ya kumwabia ambia mtoto wa kishua Hajar(nakutania bana) maana nshasamehewa kua na kitochi, hahahaa
 
Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii

Muwe na siku njema
Sitashangaa Anaekuto,mb,a Hata Smartphone Hana Maana Umejaa Mbwembwe Na Nyodo Kibao
 
Back
Top Bottom