Mwanamke SHANGINGI...............

Mwanamke SHANGINGI...............

yep wanavaa magold makubwa makubwa ila ni ya ukweli.

Kweli Cheusi, mnyonge tumnyonge na haki yake apewe....
Sifa kuu ya mashangingi ni kutokufake kwenye mapambo yao....
Hata kama atakuwa anauza vitumbua lol.....
Pande za huku kwetu kuna bi mama huyo ye ni Mc tu wa "kitchen party"..
Ila anauwezo wa kushindana na mashostito wa BOT kwenye kujipamba
 
umekula vitu vyake kibao ukiwa na shida ya elfu 50 anakutumia 5000000 ila kumbe una mtu tena u mjamzito unamchunia roho inamuuma hali wala halali kwa ajili yako.na ulimuahidi mtafunga ndoa

hahahaaaaaaaaaa dont crack my ribs,lol
nahisi anazeeka vibaya lol,namsamehe bure,ila najuata kuimiss sijui why wameitoa,hope hakutukana.
 
Kweli Cheusi, mnyonge tumnyonge na haki yake apewe....
Sifa kuu ya mashangingi ni kutokufake kwenye mapambo yao....
Hata kama atakuwa anauza vitumbua lol.....
Pande za huku kwetu kuna bi mama huyo ye ni Mc tu wa "kitchen party"..
Ila anauwezo wa kushindana na mashostito wa BOT kwenye kujipamba

ni kama unasema 'mwanamke anaejua kujipamba ndo shangingi'
is it??
 
ni kama unasema 'mwanamke anaejua kujipamba ndo shangingi'
is it??

Hapana, sifa "mama" ya shangingi ni umalaya uliokubuu na matukio yote ya uasherati uliopitiliza..
Sasa kunakuwaga na vijitabia vingine vya kusindikiza tu ndio kama hivyo kujipamba bila kujinyima...
 
Kweli Cheusi, mnyonge tumnyonge na haki yake apewe....
Sifa kuu ya mashangingi ni kutokufake kwenye mapambo yao....
Hata kama atakuwa anauza vitumbua lol.....
Pande za huku kwetu kuna bi mama huyo ye ni Mc tu wa "kitchen party"..
Ila anauwezo wa kushindana na mashostito wa BOT kwenye kujipamba

sijui nikisema mashangingi wengi wako uswazi nakosea?ila naamini mashangingi ya ukweli yako uswazi kama magomeni kinondoni n alike,achilia kujipamba kwa vitu vya gharama,utakuta hata nyumbani kwake ana vitu vya uhakika.
 
sijui nikisema mashangingi wengi wako uswazi nakosea?ila naamini mashangingi ya ukweli yako uswazi kama magomeni kinondoni n alike,achilia kujipamba kwa vitu vya gharama,utakuta hata nyumbani kwake ana vitu vya uhakika.

kuna wanawake wanaishi mbezi beach na masaki but ni 'mashangingi' ya kufa mtu..
 
View attachment 44728 images2.jpg images3.jpg images5.jpg images7.jpg
mashangingi hua wanakua na sura flani ivi tofauti na wadada wa kawaida na tizama yao hua ni tofauti mana hua mara nyingi hua sura zao zimepambwa na zarau sana kwa kua hua wanakua na hela chafu (wanajiweza kwa kila kitu na wao hua ndio humuhudumia mwanamme always)
kingine hua wanauwezo wa kumuuza mtu (kutafutia visichana vidogo wavulana au mapedeshee) ila hua wao ndio wanapokea cha juu zaidi ya mdada waliyemtafutia huyo pedeshee
kingine hua wanakua wanajuana na wahuni wengi mnooo ( wale watu wa madili ya fasta fasta)
hua wote wanakua na magari,nyumba,na kila kitu na hela nyingi sana na wengi hua wanakua ni wajane ama hawakuwahi kuolewa kabisa na kwa wale wajane inatokea waliolewa na tajiri zen jamaa akaukata so mama akamiliki mali zote na badae akageuka jimama anaanza kutafuta dogodogo
NB: 1.KUNA MASHANGINGI AINA MBILI WAKO WALE WANENE NA WAZURI NA MARA NYINGI HUA NI WEUPE MANA WANAJICHUBUA SANA NA WANAKUA NA HELA NYINGI MNOOOOOOOOOO WAO NDIO HUMUHUDUMIA MWANAMUME
2. KUNA WALE WEMBAMBA WAKAWAIDA (VIDADA) HUA WAO HAWANA HELA ILA WANAKUA WAZEE WA MISHENTOWN YANI KUKUINGIZA WW CHAKA NI KAMA ANAKUNYWA MAJI VILE (sio machangu wao ni tofauti na machangu bali hua wanakua na njia ya utafutaji pesa kwa utapeli utapeli tu) ila nao pia wanajichubua sana cjui kwann na kuweka nywele dawa ingawa zinakua hazijakaribia kubana na kuzifanya kuishia hewani zikipeperuka na upepo.........
uzuri ukikutana nao kama unaakili utamgundua haraka sana mana hua ni tofauti sana na wadada wakawaida hata kama amevaa kiheshima na kujidai anaficha utamgundua tu lazima mana ushangingi haufichiki mana hata kicheko chao ni tofauti na cha wadada wa kawaida kabisaaaaaaaaaaaaa
 
ila mashangingi mengi kama yanajishughulisha basi ni biashara nyingi dizaidi ya kwenda dubai china za kukopesha kupesha hivi ila wengi wao wanaishi kwa kutegemea wanaume.

Duh kama hii ni moja ya sifa za mwanamke shangingi, hakika mashangingi yamejaa tele mitaani. Kuanzia uswahilini Matola hadi uzunguni Kilimani!!
 
sijui nikisema mashangingi wengi wako uswazi nakosea?ila naamini mashangingi ya ukweli yako uswazi kama magomeni kinondoni n alike,achilia kujipamba kwa vitu vya gharama,utakuta hata nyumbani kwake ana vitu vya uhakika.

Hapo unakosea sasa nimekufuatilia toka mwanzo, hivi shangingi la uswazi linaweza miliki migold mikubwa kubwa? au linaweza badili viwalo kila baada ya masaa kadhaa?
 
Hapana, sifa "mama" ya shangingi ni umalaya uliokubuu na matukio yote ya uasherati uliopitiliza..
Sasa kunakuwaga na vijitabia vingine vya kusindikiza tu ndio kama hivyo kujipamba bila kujinyima...

waoambao sio malaya but still wanaitwa 'mashangingi'....
hapo vipi?
 


Hili shangingi kiboko jamaa analifaidi kweli hayo manyama
 
hujaelewa yaani shangingi ni kama lichangudoa sema linakuwa lipo advanced kidogo.so mke hawezi kuwa shangingi

wapo wake za watu mashangingi wengi tu Smile,hasa kwenye haya majiji kama Arusha,Dar na Mwanza...wengine huanza wakiwa wake za watu tayari,na kama ndoa ndo zile za kikristo,au yeye ndo mleta chakula mezani,mlipa ada,mwenye pango ni wanaume wachache wenye guts za kuwaacha...ukizingatia siku hizi wanaume wanaolelewa ni wengi,ndoa za mashangingi zitadumu na kuongezeka.
 
wapo wake za watu mashangingi wengi tu Smile,hasa kwenye haya majiji kama Arusha,Dar na Mwanza...wengine huanza wakiwa wake za watu tayari,na kama ndoa ndo zile za kikristo,au yeye ndo mleta chakula mezani,mlipa ada,mwenye pango ni wanaume wachache wenye guts za kuwaacha...ukizingatia siku hizi wanaume wanaolelewa ni wengi,ndoa za mashangingi zitadumu na kuongezeka.
ni kweli kuna wake za watu ,mashangingi kweli yani mpaka unamsikia baba anamwambia mama nisikuone unaongozana na mke wa fulani au sitaki hata awe rafiki yako
 
Back
Top Bottom