Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,965
- 4,040
Usife nà tai shingoni mkuu mtukane tuHao unaowaita mashetani ni mama wa wenzio pia. Ukitukana mama wa wenzio jua umetoa nafasi ya mama yako kutukanwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usife nà tai shingoni mkuu mtukane tuHao unaowaita mashetani ni mama wa wenzio pia. Ukitukana mama wa wenzio jua umetoa nafasi ya mama yako kutukanwa.
Sijafunzwa hivyo, nawaheshimu.
Vyema ubarikiwe sana mkuu,umeonyesha nidhamu ya kiwango cha digree kwa kumheshim mamaSijafunzwa hivyo, nawaheshimu.
Utajua mwenyewe na mijanamke unayokutana nayo, hapa anazungumziwa mwanamke!Sio dada tu bahati mbovu mpaka kwa kipenzi changu wa kwanz alipoteza maisha akiwa achomoa mimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa Sana Kiongozi, Mama ni mama tuVyema ubarikiwe sana mkuu,umeonyesha nidhamu ya kiwango cha digree kwa kumheshim mama
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ujumbe huu,dunia ingelikuwa salama kama hayo yote unayoyasema yangekuwa sahihi.
Bimaana wasio na maendelea hawajajiongeza kwa kuchagua wake sahihi,?Wanawake tumebarikiwa vipaji vingi na Mungu tena vya ajabu tukipata partner sahihi lazima maendeleo yaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu mimba tayari mtoto ameanza kutengenezwa ila punyeto ni mbegu tuuKutoa mimba haina tofauti na masturbation mnayofanya mana ni kosa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Asante Sana MpwaTunawapenda sana mama, dada na wake zetu. Bila wao huenda dunia ingekuwa katika mfumo tofauti kabisa. Lakini ni viumbe wadhaifu mno, hata vitabu vitakatifu vimetuambia hivyo, na pia tumeambiwa tuishi nao kwa akili... huenda ndio akili unayotumia hapo mpwa Elli![]()
Hahaha! Kasie please! Huwa Namwambia kila siku, we live once...Natamani kujua aliyekufanya ukaandika haya maneno..... sio kumjua ni nani bali kujua tukio lililotolea baina yenu.
% zote sio mia tu
Mkuuu mimba tayari mtoto ameanza kutengenezwa ila punyeto ni mbegu tuu
Una taka kuni maanisha kukata mti na kula mbegu ni jambo moja la sawa, hasara ya kukata mti ni kubwa kuliko kula mbegu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Now I understand mkuu. We are stronger ni bas tu sometimes tunajikuta tupo sehemu ambayo sio sahihi.Hahaha Demi, you know what I mean! She is stronger and courageous! The Real Ney
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie tupondeni tu haina shida, watoto wetu wanatuthamini, Kama ambavyo nyie mnawaona mama zenu wa maana, ukute baba zenu wanawaona mama zenu mashetatani vilevile. ,eti mwanamke ni mtunza siri na madhaifu yetu loooh ao ndio wapinga maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app


Maisha haya!