Mwanamke ni nani?

Mwanamke ni nani?

mwanamke ni nsaidizi ,mkamilishaji wa ndoto za mwanaume anaempendeza mwanaume tuu,mwanamke ni kama chombo kidhaifu hvo lzm akil itumike kukitumia,mwanamke ameshika baraka za mwanaume,hvo ili mwanaume afanikiwe itategemea na mwanamk aliyenae lkn kwa mwanamke haitegemei mwanaume alienaeee,ana nafasi kubwa ya kuharibu maish ya mwanaume,asanten

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanamke ni nsaidizi ,mkamilishaji wa ndoto za mwanaume anaempendeza mwanaume tuu,mwanamke ni kama chombo kidhaifu hvo lzm akil itumike kukitumia,mwanamke ameshika baraka za mwanaume,hvo ili mwanaume afanikiwe itategemea na mwanamk aliyenae lkn kwa mwanamke haitegemei mwanaume alienaeee,ana nafasi kubwa ya kuharibu maish ya mwanaume,asanten

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee wanaume kazi tunayo kwenye hii comment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kosa la mauaji ni kubwa kuliko zote. huwezi kuua kiumbe chenye pumzi ya Mungu ukasema ni sawa na kosa la kumtukana mtu.

Mungu husamehe, tubuni.

msijitetee hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa ni kosa tu! Hakuna dogo wala kubwa soma maandiko utaelewa !Hakuna kinyonge chochote kitakachouona ufalme. Sawa wewe endelea kupima makosa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ukiona mwanamke ni shetani, wengine tunamuona ni wathamani kumbuka ukikaa tumboni kwake miezi 9 na ukanyonya matiti yake kwa miaka 2.Hata kama alikutelekeza ukiwa mdogo ila bado ni mama ana thamani kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema mama zao ndiyo malaika ila wa wengine ndiyo mashetani, cha ajabu inaweza kuta mama zao ndiyo wasaidizi wa ibilisi mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke:
Anaweza kufanya jengo kuwa nyumba, nyumba ya amani na furaha

Anaweza kukufanya ukafanikiwa na kubarikiwa

Anakupa watoto kwa Majina yako, anabeba majukumu yako kwa watoto wako.

She is a comforter, a Counselor and a Guardian Angel.

Anatabasamu anapokua na Uchungu, na analia anapokua na furaha! Ni jasiri.

Ni muombezi wetu, ni mtunza Siri zetu na madhaifu yetu.

Anavumilia, Analea, ni mwelewa.

Ni MWANAMKE

HESHIMA KWA MWANAMKE, Heshima kwako, Heshima kwako, umethibitisha wewe ni jasiri!

Always

Elli

Sent using Jamii Forums mobile app
Crazy creatures

Shida haijirudii
 
Back
Top Bottom