Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
- Thread starter
- #101
Anhaaa... Kumbe ni vitu vya kufikirika tu ambavyo umeviandika tokana na mihemuko ya hisia zako?Imagine wote Tungekua na mtazamo na mawazo sawa! Unachotaka au Unachowaza wewe ndio kiwe sawa sawa na kila mtu....
Sent using Jamii Forums mobile app




Anhaaa... Kumbe ni vitu vya kufikirika tu ambavyo umeviandika tokana na mihemuko ya hisia zako?
Basi sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilazimishe muujiza ambao umetendeka kwako ufanane na miujiza ambao wenzio haijawatokea kupitia njia hiyo hiyo.
Kuna mtoto mdogo wa miaka mi5 alimuokoa Baba yake kwa kifo kilichokuwa kimepangwa na Mama yake sababu ya kutaka kurithi mali.
"ACHA KUKARIRI KUWA KILA KING'AACHO NI DHAHABU"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kiumbe pekee aliewahii Kuonana na shetani uso kwa uso wakakaa ana Kuongeaa waliyoongea..![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa, Mimi na wewe aliyekariri ni Nani? Mbona Kama unatoka povu unnecessarily? Nini mbaya? View attachment 989439
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kiumbe pekee kinachoweza kukuigizia kinakupenda hata kukutolea machozi usoni nakati rohoni kinakung'ong'a kikikusikitikia sn namna kitavyokufyekelea mbaliSasa, Mimi na wewe aliyekariri ni Nani? Mbona Kama unatoka povu unnecessarily? Nini mbaya? View attachment 989439
Sent using Jamii Forums mobile app


Hahaha tufanye umeshinda! Pata bapaNi kiumbe pekee kinachoweza kukuigizia kinakupenda hata kukutolea machozi usoni nakati rohoni kinakung'ong'a kikikusikitikia sn namna kitavyokufyekelea mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
ndiyo.. tofauti sana.. na nina rudia tena ni mashetani kasoro mama yangu tu.Acha maneno yako makali Mama yako yeye ni wa tofauti na Wanawake wengine?
ndiyo.. tofauti sana.. na nina rudia tena ni mashetani kasoro mama yangu tu.
kosa la mauaji ni kubwa kuliko zote. huwezi kuua kiumbe chenye pumzi ya Mungu ukasema ni sawa na kosa la kumtukana mtu.