BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,532
- 11,027
Naunga mkono hoja mia kwa miani mashetani kasoro mama yangu tu...
Naunga mkono hoja mia kwa miani mashetani kasoro mama yangu tu...
Anampa mimba mwanamke kisha anashawishi kutoa, na wanatoa pale
Anampa mimba mwanamke kisha anashawishi kutoa, na wanatoa pale
anajua mwenye kosa ni mwanamke hiyo haipo ni wote kosa moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ni mashetani tu,isipokuwa mama yangu tu,chunguza kiundani utambue mwanamke ni kiumbe cha aina gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda shetani kwa wengine ila kwangu pekee ndiye ninaye mkubaliHuyo mama yako katoka sayari gani au kaumbwa na nani hata asiwe shetani?
😀😀😀😀😀😀😀ni mashetani kasoro mama yangu tu...
😀😀😀😀😀😀😀ni mashetani kasoro mama yangu tu...
SOMA HIYO!!! Sababu na madhara ya kupiga punyeto kwa wanawake - JamiiForums
Itakuwa katoka JupiterHuyo mama yako katoka sayari gani au kaumbwa na nani hata asiwe shetani?
Hao unaowaita mashetani ni mama wa wenzio pia. Ukitukana mama wa wenzio jua umetoa nafasi ya mama yako kutukanwa.Wanawake ni mashetani tu,isipokuwa mama yangu tu,chunguza kiundani utambue mwanamke ni kiumbe cha aina gani
Sent using Jamii Forums mobile app