Watoto wanaingiaje mkuu.Unaposema mwanamke ni combo cha starehe unaelewekab ukiongeza na magari haieleweki sana maana gari ni usafiri. Je watoto ni kwa vipi wanakuwa chombo cha starehe?
Na kwa wanawake, nao wanatuona wanaume chombo cha starehe pengine, je wawe na wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sfarehe namba moja duniani hizo za bia madawa hamna kitu... Kugegeda bwana ndio starehe yenyeweAlaaa ?
Mtume wa Allah anasema
"Dunia ni starehe na bora ya starehe ni mwanamke. Mwema "
Kwa nini hapa starehe ya dunia bwana Mtume kaiambatanisha na mwanamke ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hakusema chombo cha starehe ?Alaaa ?
Mtume wa Allah anasema
"Dunia ni starehe na bora ya starehe ni mwanamke. Mwema "
Kwa nini hapa starehe ya dunia bwana Mtume kaiambatanisha na mwanamke ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno chombo ni sifa.
Kwa maana ya kuwa tunawatumia wanawake kwa maana kitamaduni tunawatendea wao.
Au neno chombo umeelewaje wewe mkuu Zurri ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema chombo eti ni kushusha thamani hiyo ni kwa mujibu wako wewe.Kumuita mwanamke chombo cha starehe, ni kumshushia hadhi na sifa yake, bali huo ni uhuni na uzandiki, hawakuwa na sifa hiyo waja wema.
Sasa ndio utuambie weww nani aekutangulia katika hili ?
Kwanini mtume hakuwaita hivyo wanawake au maswahaba ?
Sasa unatakiwa kujifunza kuweka kitu mahala pake.
Sifa ta sifa fulani huendana na uhalisia, sasa uhalisia wa sifa ya chombo kwa mwanamke haipo.
Hapa huna cha ziadi ya kufurahisha nafsi yako mzee.
Poa.Kusema chombo eti ni kushusha thamani hiyo ni kwa mujibu wako wewe.
Sijaona wapi ukisema chombo ni kushusha thamani ?
Kwa mujibu wa nani kusema chombo cha starehe ni kushusha thamani ya mwanamke ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa muelewa mkuu.Kwanini hakusema chombo cha starehe ?
Unajua sifa za chombo ? Chombo nikisicho na uhai ?
Allaj aloye juu anasema :
"Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri. [Suuratur-Ruum 30:21].
Al-Haafidh Ibn Kathiyr (Aliyefariki 774H) - RahimahuLLaah - alisema katika kufafanua neno ‘Mawaddah’ na ‘Rahmah’ ambayo inapatikana katika Ayaah iliyopita, anasema:
"Al-Mawaddah inamaanisha mapenzi na mahaba na Ar-Rahmah inamaniisha rehma (upole) na huruma - kama ilivyokuwa mtu anamchukuwa mwanamke ama kwa sababu ya mapenzi kwake, au kwa sababu ya mapenzi juu yake au kwa sababu ya upole na huruma juu yake, kwa kumpa mtoto kutokana na yeye..."
Poa.
Kazi yangu nimemaliza mzee.
Ndio maana wqtu wanahonga na wanatoa mailioni ya mahari kwa sababu wanatambua thamani ya mwanamke.
Hakuna Nchi ambayo hakuna biashara haramu ya Ngono tokea zamani.
Hiyo kuonesha ya kuwa mwanamke ni chombo cha starehe tukiacha majukumu mengine yake.
Ingawa wanawake wengine wanatumia mwanya huo kinyume na ustaarabu husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yeye angekuwa chombo cha starehe kwa ajili yangu basi ndo ingebidi alipe mahari yeye.
Tunapotoa kitu kupata kitu maana yake unakihitajia mno.
Mwanaume anaweza kubaka hata kuku akiwa na nyege ila mwanamke ni ngumu kujibakisha kwa kuku.hii kuonesha mwanaume matamanio yake yako karibukaribu ya ovyo kuliko mwanamke.
Hivyo tunatoa mahari kwa sababu sisi ndo tunawahitajia sana wao kukidhi haja na starehe zetu kuliko wao wanavyotuhitajia sisi.
Ukitoa pesa kununua gari maana yake wewe ndo unashida zaidi na gari kuliko gari ilivyokuwa na shida na wewe.
Na kutoa sisi mahari kuwapa wanawake maana yake sisi tunawahitajia zaidi kuliko wao wqnavyotuhitajia sisi.
Sio kejeli ndo ukweli huo.ndio maana kuna wanawake wengi wanajiuza kwa ajili ya wanaume na ni ngumu kukuta wanaume wanajiuza kwa ajili ya wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa muelewa mkuu.
Nimesema kwa mujibu wangu chombo ni sifa na sikukusudia chombo kifaa bali ni sifa hiyo.
Kwani mtu akisema "umekiona chombo kilee?"
Alafu akakusudia mwanamke hapa ina maana ya kweli mwanamke ni chombo ama chombo ni sifa tuu?
Usilete sheria katika mambo ya kilugha boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiumbe ambae tumeambiwa tukifanyie wema na tumpe kati ya yale tuliyoruzukiwa mara tatu zaidi ya baba unakiita chombo cha Starehe ?
Nani alikutangulia katika kauli hizi za kifedhuli ?
Mbona unaguna mzee ?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] mmhh
Mbona unaguna mzee ?
Hatar fayaaa Mimi nimetaapika aise duuuhMo
Mod...mpeni ban uyu popoma.
FaizaFoxy njoo haraka iwezekanavyo kuna mada inahitaji Ushauri wako.Kama yeye angekuwa chombo cha starehe kwa ajili yangu basi ndo ingebidi alipe mahari yeye.
Tunapotoa kitu kupata kitu maana yake unakihitajia mno.
Mwanaume anaweza kubaka hata kuku akiwa na nyege ila mwanamke ni ngumu kujibakisha kwa kuku.hii kuonesha mwanaume matamanio yake yako karibukaribu ya ovyo kuliko mwanamke.
Hivyo tunatoa mahari kwa sababu sisi ndo tunawahitajia sana wao kukidhi haja na starehe zetu kuliko wao wanavyotuhitajia sisi.
Ukitoa pesa kununua gari maana yake wewe ndo unashida zaidi na gari kuliko gari ilivyokuwa na shida na wewe.
Na kutoa sisi mahari kuwapa wanawake maana yake sisi tunawahitajia zaidi kuliko wao wqnavyotuhitajia sisi.
Sio kejeli ndo ukweli huo.ndio maana kuna wanawake wengi wanajiuza kwa ajili ya wanaume na ni ngumu kukuta wanaume wanajiuza kwa ajili ya wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app