Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Mwanamke ni chombo cha starehe(?)

Unaposema mwanamke ni combo cha starehe unaelewekab ukiongeza na magari haieleweki sana maana gari ni usafiri. Je watoto ni kwa vipi wanakuwa chombo cha starehe?
Na kwa wanawake, nao wanatuona wanaume chombo cha starehe pengine, je wawe na wangapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wanaingiaje mkuu.

Gari ni mfano tu.

Mwanamke anatakiwa awe na mwanaume mmoja tu kwa mujibu wa maumbile yake ya asili kwa sababu katika malengo ya kuwa pamoja ikiwemo kupata watoto.

Ndio maana mwanamke hawezi kubeba mimba za watu wengi kwa pamoja.na akiwa na wanaume wengi kutatokea utata juu ya baba wa mtoto

Ila mwanaume anaweza kutia mimba nyingi kwa pamoja.na kila mwanamke anamtoto wake wa baba mmoja.

Kama mwanamke hawezi kuwa na mimba za watu wawili kwa pamoja basi hio ni dhahiri mmoja tu anatosha kuwa na maumbile ndo yanahukumu hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alaaa ?

Mtume wa Allah anasema

"Dunia ni starehe na bora ya starehe ni mwanamke. Mwema "

Kwa nini hapa starehe ya dunia bwana Mtume kaiambatanisha na mwanamke ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sfarehe namba moja duniani hizo za bia madawa hamna kitu... Kugegeda bwana ndio starehe yenyewe
 
Alaaa ?

Mtume wa Allah anasema

"Dunia ni starehe na bora ya starehe ni mwanamke. Mwema "

Kwa nini hapa starehe ya dunia bwana Mtume kaiambatanisha na mwanamke ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hakusema chombo cha starehe ?

Unajua sifa za chombo ? Chombo nikisicho na uhai ?

Allaj aloye juu anasema :

"Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri. [Suuratur-Ruum 30:21].


Al-Haafidh Ibn Kathiyr (Aliyefariki 774H) - RahimahuLLaah - alisema katika kufafanua neno ‘
Mawaddah’ na ‘Rahmah’ ambayo inapatikana katika Ayaah iliyopita, anasema:



"
Al-Mawaddah inamaanisha mapenzi na mahaba na Ar-Rahmah inamaniisha rehma (upole) na huruma - kama ilivyokuwa mtu anamchukuwa mwanamke ama kwa sababu ya mapenzi kwake, au kwa sababu ya mapenzi juu yake au kwa sababu ya upole na huruma juu yake, kwa kumpa mtoto kutokana na yeye..."
 
Neno chombo ni sifa.

Kwa maana ya kuwa tunawatumia wanawake kwa maana kitamaduni tunawatendea wao.

Au neno chombo umeelewaje wewe mkuu Zurri ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumuita mwanamke chombo cha starehe, ni kumshushia hadhi na sifa yake, bali huo ni uhuni na uzandiki, hawakuwa na sifa hiyo waja wema.

Sasa ndio utuambie weww nani aekutangulia katika hili ?

Kwanini mtume hakuwaita hivyo wanawake au maswahaba ?

Sasa unatakiwa kujifunza kuweka kitu mahala pake.

Sifa ta sifa fulani huendana na uhalisia, sasa uhalisia wa sifa ya chombo kwa mwanamke haipo.

Hapa huna cha ziadi ya kufurahisha nafsi yako mzee.
 
Kumuita mwanamke chombo cha starehe, ni kumshushia hadhi na sifa yake, bali huo ni uhuni na uzandiki, hawakuwa na sifa hiyo waja wema.

Sasa ndio utuambie weww nani aekutangulia katika hili ?

Kwanini mtume hakuwaita hivyo wanawake au maswahaba ?

Sasa unatakiwa kujifunza kuweka kitu mahala pake.

Sifa ta sifa fulani huendana na uhalisia, sasa uhalisia wa sifa ya chombo kwa mwanamke haipo.

Hapa huna cha ziadi ya kufurahisha nafsi yako mzee.
Kusema chombo eti ni kushusha thamani hiyo ni kwa mujibu wako wewe.

Sijaona wapi ukisema chombo ni kushusha thamani ?

Kwa mujibu wa nani kusema chombo cha starehe ni kushusha thamani ya mwanamke ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hakusema chombo cha starehe ?

Unajua sifa za chombo ? Chombo nikisicho na uhai ?

Allaj aloye juu anasema :

"Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri. [Suuratur-Ruum 30:21].


Al-Haafidh Ibn Kathiyr (Aliyefariki 774H) - RahimahuLLaah - alisema katika kufafanua neno ‘
Mawaddah’ na ‘Rahmah’ ambayo inapatikana katika Ayaah iliyopita, anasema:



"
Al-Mawaddah inamaanisha mapenzi na mahaba na Ar-Rahmah inamaniisha rehma (upole) na huruma - kama ilivyokuwa mtu anamchukuwa mwanamke ama kwa sababu ya mapenzi kwake, au kwa sababu ya mapenzi juu yake au kwa sababu ya upole na huruma juu yake, kwa kumpa mtoto kutokana na yeye..."
Kuwa muelewa mkuu.

Nimesema kwa mujibu wangu chombo ni sifa na sikukusudia chombo kifaa bali ni sifa hiyo.

Kwani mtu akisema "umekiona chombo kilee?"
Alafu akakusudia mwanamke hapa ina maana ya kweli mwanamke ni chombo ama chombo ni sifa tuu?

Usilete sheria katika mambo ya kilugha boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona wanaume wengi wanalalamika kuwa wanawake wanapenda pesa ?? Unaelewa maana ya kuhudumia kiroho safi ??
Ndio maana wqtu wanahonga na wanatoa mailioni ya mahari kwa sababu wanatambua thamani ya mwanamke.

Hakuna Nchi ambayo hakuna biashara haramu ya Ngono tokea zamani.

Hiyo kuonesha ya kuwa mwanamke ni chombo cha starehe tukiacha majukumu mengine yake.

Ingawa wanawake wengine wanatumia mwanya huo kinyume na ustaarabu husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona dunia ya sasa wapo wanaume wengi wanaojiuza kwa wanawake ili wapate hela ?? Au mmeshakariri kwamba mtu kujiuza ni hadi ajipange barabarani ??
Kama yeye angekuwa chombo cha starehe kwa ajili yangu basi ndo ingebidi alipe mahari yeye.

Tunapotoa kitu kupata kitu maana yake unakihitajia mno.

Mwanaume anaweza kubaka hata kuku akiwa na nyege ila mwanamke ni ngumu kujibakisha kwa kuku.hii kuonesha mwanaume matamanio yake yako karibukaribu ya ovyo kuliko mwanamke.

Hivyo tunatoa mahari kwa sababu sisi ndo tunawahitajia sana wao kukidhi haja na starehe zetu kuliko wao wanavyotuhitajia sisi.

Ukitoa pesa kununua gari maana yake wewe ndo unashida zaidi na gari kuliko gari ilivyokuwa na shida na wewe.

Na kutoa sisi mahari kuwapa wanawake maana yake sisi tunawahitajia zaidi kuliko wao wqnavyotuhitajia sisi.

Sio kejeli ndo ukweli huo.ndio maana kuna wanawake wengi wanajiuza kwa ajili ya wanaume na ni ngumu kukuta wanaume wanajiuza kwa ajili ya wanawake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa muelewa mkuu.

Nimesema kwa mujibu wangu chombo ni sifa na sikukusudia chombo kifaa bali ni sifa hiyo.

Kwani mtu akisema "umekiona chombo kilee?"
Alafu akakusudia mwanamke hapa ina maana ya kweli mwanamke ni chombo ama chombo ni sifa tuu?

Usilete sheria katika mambo ya kilugha boss

Sent using Jamii Forums mobile app

Kijana naona umeamua kubishana kwenye hamna.

Ubaya wa maana huendana na munasaba. Iko hivi kwa ujumla wa maana na tukienda mbali zaidi, hapo umesifia kimaana tu ila kiuhalisia hamna maana, huo ni upande chanya.

Lakini, tamko hilo hilo umelitumia vinaya kwa munasaba hasi, na hicho ni kitendi cha dhulma na udhalilishaji na hakina uhalisia vile vile.

Lakini, ajabu hujaona tofauti kati ya matumizi ya hizo kauli zako mbili, kisha unanitaka mimi niwe muelewa wakati wewe hata ulicho kiandika unashindwa kukimaizi. Hii ajabu huwa naiona humu jf.

Hakuna kitu ambacho hakiendi bila ya lugha, na maana ya kisheria ndio huwa ina nguvu sana kuliko maana ya kilugha.
 
mmhh
Kiumbe ambae tumeambiwa tukifanyie wema na tumpe kati ya yale tuliyoruzukiwa mara tatu zaidi ya baba unakiita chombo cha Starehe ?

Nani alikutangulia katika kauli hizi za kifedhuli ?
 
Vitabu vyetu vitakatifu vinabainisha hoja yako mkuu..mfano kimoja kuna mahali kinasema Adamu alionekana mpweke ndipo aliumbwa yule mwanamke kwa ubavu wake..Aliumbwa Mwanamke kwa tafsiri ya kumstarehesha mwanaume...Angeumbwa Mwanaume mwingine bado wote wangekuwa wapweke...Au siyo Mzee Baba...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama yeye angekuwa chombo cha starehe kwa ajili yangu basi ndo ingebidi alipe mahari yeye.

Tunapotoa kitu kupata kitu maana yake unakihitajia mno.

Mwanaume anaweza kubaka hata kuku akiwa na nyege ila mwanamke ni ngumu kujibakisha kwa kuku.hii kuonesha mwanaume matamanio yake yako karibukaribu ya ovyo kuliko mwanamke.

Hivyo tunatoa mahari kwa sababu sisi ndo tunawahitajia sana wao kukidhi haja na starehe zetu kuliko wao wanavyotuhitajia sisi.

Ukitoa pesa kununua gari maana yake wewe ndo unashida zaidi na gari kuliko gari ilivyokuwa na shida na wewe.

Na kutoa sisi mahari kuwapa wanawake maana yake sisi tunawahitajia zaidi kuliko wao wqnavyotuhitajia sisi.

Sio kejeli ndo ukweli huo.ndio maana kuna wanawake wengi wanajiuza kwa ajili ya wanaume na ni ngumu kukuta wanaume wanajiuza kwa ajili ya wanawake.


Sent using Jamii Forums mobile app
FaizaFoxy njoo haraka iwezekanavyo kuna mada inahitaji Ushauri wako.
 
Back
Top Bottom