safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,314
- 18,146
- Thread starter
- #101
Watoto wanaingiaje mkuu.Unaposema mwanamke ni combo cha starehe unaelewekab ukiongeza na magari haieleweki sana maana gari ni usafiri. Je watoto ni kwa vipi wanakuwa chombo cha starehe?
Na kwa wanawake, nao wanatuona wanaume chombo cha starehe pengine, je wawe na wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari ni mfano tu.
Mwanamke anatakiwa awe na mwanaume mmoja tu kwa mujibu wa maumbile yake ya asili kwa sababu katika malengo ya kuwa pamoja ikiwemo kupata watoto.
Ndio maana mwanamke hawezi kubeba mimba za watu wengi kwa pamoja.na akiwa na wanaume wengi kutatokea utata juu ya baba wa mtoto
Ila mwanaume anaweza kutia mimba nyingi kwa pamoja.na kila mwanamke anamtoto wake wa baba mmoja.
Kama mwanamke hawezi kuwa na mimba za watu wawili kwa pamoja basi hio ni dhahiri mmoja tu anatosha kuwa na maumbile ndo yanahukumu hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app

