Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Inaonekana wewe unaogopa kufamaniwa kwenye mtandao!

It happens, nilishawahifumaniwa Jf, nili log in Jf nikasahau ku sign out, tena mbaya zaidi nilitumia simu yake, yangu haikuwa na chaji, kilichotokea hapo, naye amejiunga Jf, Id yangu anaifahamu, kila ninachokomment lazima akisome!



Hakawii kukufungulia uzi mtandao mwingne wa kijamii wakujadil
 
Hivi Instagram una mu-update mtu? Sijwahi kutumia hii kitu naisikia tu.


Ingia utumie soma comment za watu utajua nin kinajadiliwa huenda we hupo instagram mwenz wako yupo huko hatua moja mbele
 
kwan kuna tatiz mtu ukidesa idea mpya then ukaifanyia kazi


Nzuri sana ila vp mfano unapotaka kumhabarisha mtu unapoanza tu akakwambia aaah nilishaiona naifahamu progressive hamasa ya kuhabarisha inapungua vitu vinakuwa vya kawaida tu
 
....Kujiamini ni kumwacha mwanamke ...awe anapost kila kitu kinachotokea kwenye ndoa mmu...kama yule kapigwa kibao tu kakimbila mmu kupost...alafu wakatii mwingine ni ushamba kuliko ujanja zaidi kama mnavyo fikiria......angalia definition ya KUJIAMINI vizuri
We siafu dume tabia kama hiyo haisababishwi na uwepo wa mitandao bali ni tabia binafsi. Mtu anaweza akawahadithia majirani/work mates/ mashoga au ndugu zake mambo hayo hayo ilimradi awe amesema. Tena bora hapa watu hamjuani.

Plus, ni kila member humu unamuona akielezea kinachoendelea kwenye maisha yake?Acheni uvivu wa kufikiri. Huyo mwanamke asiyefahamu mambo ya mitandao kama anapenda kuongelea sana mambo yenu/yake atakuongelea mtaani,kwa ndugu na marafiki zenu na utaishia kufyonzwa/kunyooshewa vidole,kubezwa na kudharauliwa kama anakusema kwa mabaya na mapungufu yako.

King'asti . . .Miss sana wewe wifi. Kaka yako angekuwa hajiamini kama hawa jamaa tungehamia mars aiseee.
 
Last edited by a moderator:
Nzuri sana ila vp mfano unapotaka kumhabarisha mtu unapoanza tu akakwambia aaah nilishaiona naifahamu progressive hamasa ya kuhabarisha inapungua vitu vinakuwa vya kawaida tu

Kwahiyo unachotaka wewe ni uonekane unajua tu?Kaoe kijijini na usimlete mjini.
 
^^
Ashinde online! Alale online! Atafute relations online! Alete principles za online ktk ndoa!..
Mwanaume akilalamika useme hajiamini?
^^


Nashukuru sana mkuu nadhani wengne hawajanisoma nin namaanisha ukiongea naye kitu dadika hiyohiyo kafungua thread kukujadili mbaya zaid we unatumia MMU ye hatua tano mbele zaidi yako any time t yupo online
 
mtoa mada unaonekana unapenda kuwa mbele kwa kila kitu na mfum0 dume upo upo kwako sana, kwa nini unajua si kila kitu mwanamke atatoa kwenye mtandao na kuleta home ila anajifunza na kujua ulimwengu unaendaje. kwa mtazamo wangu huu kuna baadhi ya wanawake na watu wanaamini mitandao ya kijamii ni ushetani basi hilo group linakufaa kutafuta mwenzi huko.
 
basi mie sintoolewa kabisaaaaa


Ndio kama utatolewa out baadae mtandaoni oooh kanitoa out wacha ajishauwe kuninunulia vitu vya bei kumbe account yenyew ina mil3 tu kama ndo hvo hutoolewa ila nakuombea isiwe hivyo tujifunze na kurekebishana icwe tu much mitandaoni every sec online
 
Hapana cmanishi awe old fashioned ila kuwa mtumiaji sana mitandao ya kijamii na tofautitofauti kunampa fikra za kuanza kujua mambo mengi yatakayompa ubusy wakuyatafakari assume hata mautundu yake ya mapenz unayofanya anaanza kuku enjoy tu unajua umedesa MMU na anaona hakuna jipya kwako

ha ha ha ha ...... Mkuu una akili sana!! hata habari za vibamia na kufikishwa wengine wamevijulia humu. So watakuwa wasumbufu sana kama wanasikia wenzao wanafikishwa na mibaba lakini siyo vijana. MMU ni noourma inawaharibu wanawake zetu!!
 
sioni tatizo..........

kuna watu wanadesa hadi mambo ya ajabu tatizo, unakuta mdada anapost picha za utupu instagram...sijui ndo kuwa fashioned, mi sielewagi kwa kweli, jaribu kusearch jmosha instagram,utanielewa ninachomaanisha
 
^^
Sina jibu la moja kwa moja ila mtazamo wangu ni kuwa..kwa jinsia zote Mitandao ni kama kisu..ukikitumia vizuri hakina tatizo ukikitumia vibaya kinaweza kukukata na ukaachiwa majeraha.
^^

Kweli Mkuu! Kula like!!
 
Bora ajue ili awe updated kwa kila sector, ondoa wasiwasi
 
Binafsi sioni kama ni tatizo,mitandao ya kijamii ina faida nyng na hasara kwa mtu ambae anashndwa kuitumia vizuri...
Kila mtu ana tabia zake na hivo ivo kama ni chafu atatumia mitandao kwa kufanya uchafu wake na pia huyo mwanamke ambae ukifanya kitu anaenda kukuanika huko katk mitandao ya jamii hakika hakupendi hata kidogo ujitoe mapema tu.
Kuna baadhi wanapenda mauzo huko kwenye mitandao ya kijamii anataka kila afanyacho apost,yani lazima mjue kavaa nini kuanzia jumatatu mpaka jumatatu,ikatokea huyo ndo mpenzio na wew haupend hyo tabia,ukimwambia haupend na anakupenda atakusikiliza.
Wengine si watu wa mitandaoni lakini tabia zao ni chafu balaa so kama wahtaj wife material muombe Mungu atakupa

Word Mkuu!!
 
  • Thanks
Reactions: PLL
We siafu dume tabia kama hiyo haisababishwi na uwepo wa mitandao bali ni tabia binafsi. Mtu anaweza akawahadithia majirani/work mates/ mashoga au ndugu zake mambo hayo hayo ilimradi awe amesema. Tena bora hapa watu hamjuani.

Plus, ni kila member humu unamuona akielezea kinachoendelea kwenye maisha yake?Acheni uvivu wa kufikiri. Huyo mwanamke asiyefahamu mambo ya mitandao kama anapenda kuongelea sana mambo yenu/yake atakuongelea mtaani,kwa ndugu na marafiki zenu na utaishia kufyonzwa/kunyooshewa vidole,kubezwa na kudharauliwa kama anakusema kwa mabaya na mapungufu yako.

King'asti . . .Miss sana wewe wifi. Kaka yako angekuwa hajiamini kama hawa jamaa tungehamia mars aiseee.
Kumbe unaongea hivyo kwa sababu ya ushemeji..!! ila ukweli ushamaba wa mitandao ni mkubwa jf-mmu inaweza isiwe sana...lakini face book ni sana...mtu hata kama anasaidiwa kukata kachumbari atapost...tuna kata kachumari na picha za ajabu ajabu...unakuta mtu kaolewa lakini picha kila dakika kila saa tena za ajabu ajabu.(maisha ya chuo kwenye ndoa).....kukataa haya sio kipimo cha kujiamini kwa mwanaume ila ni KIPIMO cha MWANAUME anayetaka FAMILA bora yenye mkee nna mume na WATOTO wenye maadili na MKE na MUME wanaoishi Kkama MATURED people....HUYO MNAEMSIFU ANAJIAMINI MNAMSIFU UJINGA tu
 
kuna watu wanadesa hadi mambo ya ajabu tatizo, unakuta mdada anapost picha za utupu instagram...sijui ndo kuwa fashioned, mi sielewagi kwa kweli, jaribu kusearch jmosha instagram,utanielewa ninachomaanisha

niko JF 24/7 ko ukisema tulioko online sio wife material ngastuka........

na kama wewe mwenyewe huelewagi.........mi ndo ntakuelewa!!!!!!!over
 
Ndio kama utatolewa out baadae mtandaoni oooh kanitoa out wacha ajishauwe kuninunulia vitu vya bei kumbe account yenyew ina mil3 tu kama ndo hvo hutoolewa ila nakuombea isiwe hivyo tujifunze na kurekebishana icwe tu much mitandaoni every sec online

kujishaua ni tabia binafsi na kuna watu hawajui online ndo nini lakin nenda huko

mtaani wanajiita mashauzi classic...........acheni kunungu'nika

Wanaume wanapungua sana cc Ennie
 
Last edited by a moderator:
Kulalamika au kutoa matatizo ya chumbani haihusiani na kuwepo au kutokuwepo kwa mitandao ya kijamii... hii ni hulka ya mtu. Mbona huko mitaani, wapo wasiojua hata neno intaneti lina maana gani ila ndo wanaanika mambo yao kila uchao.

Kinachoniudhi ni kutojua mda gani unafaa kuwa online... unakuta mmekaa sehem na mpenzi wako, ukitegemea mda huu ni wetu, tuongee na kujadili mambo ya msingi, ila yeye akili yake yote huko jf na fb.
 
Back
Top Bottom