Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,249
- 17,996
Hawamtakii mema mtoto wao.... binti atafute mdada wa kazi amuache hapo hapo kwa mzee wake.... akisettle atamchukua kwanza haipendezi ndoa mbichi kwenda na mtoto hata ingekua hapa hapa Nchini, mara zote watoto hubaki kwanza nyumbani hata mwezi.Ndio hivyo wazazi wake wamegoma hasa mzee wake na kaka yake mkubwa.