Ingezuiaje yeye hasizaliwe? Inamaana kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja kunafanya mwanaume asipate watoto au mtoto?!Baba yako asingeridhika na mama yako sidhani kama ungezaliwa!
Sasa hela zenu mnazopata ndio mnunuage hizo dishwasher washing mashine na miwage mnawaroa waume zenu outing ili mbaki na nguvu za kucheza na de liboloWanaume hawaelewi kitu kimoja tu kuwa mtu akiolewa anamajukumu mengi nyumba , nguo , kazi, bado chakula upike kwa maana hapiki wala hajishughulishi na kitu chochote yeye hudai vitu tu kama hotelini usiku mtu amechoka kama punda ila kama umewekewa wasaidizi kila kona hakuna shida kutoa mbususu kwa sababu unanguvu na muda .
Kweli kabisa. Mwanamke ambaye hatombwi na wanaume wengine anaboa sana. Hamna excitement kwa hiyo relationship. Make me feel jealous let us fight and make up hiyo ndio raha ya relatioship.Mimi binafsi siwezi kuwa na demu mmoja SIWEZI NA SITAWEZA AMEN..na demu wangu staki awe na mimi peke angu coz atanizoea then mapenzi yataanza kuboa
Kweli kabisa. Mwanamke ambaye hatombwi na wanaume wengine anaboa sana. Hamna excitement kwa hiyo relationship. Make me feel jealous let us fight and make up hiyo ndio raha ya relatioship.



Labda umuumbe mwenyeweMimi mwanamke wa kushare sitaki.
Nakazia🔨Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.
Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.
Akili kila mtu anazake .Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.
Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.
Yes kasoro nikiwa nahedhi 1 week tu 3 weeks all the time ukimpata mwenye kupendana unapewa penzi mwanana na unatoa penzi zuriUtaiweza shughuli kila siku?
Baba alikiwa na wanawake saba na bado wa pembe walikuwepoBaba yako asingeridhika na mama yako sidhani kama ungezaliwa!
Unamapepo basi maana wiki moja haikifanyi ukatembee njeHongera sana. Utasaidiwa siku za hedhi tu maana si anataka kila siku!🤣
Sababu kubwa ya mwanamke kuchepuka sio mapenzi kitandani. Bali kwakila stage ya utoshelevu aliyojipangia akishaifika huona haitoshi hivyo huona kuwa upande ule ni bora kuliko wasasaivi, hivyo huchepuka. Kwaujumla mwanamke kutosheka ni ngumu. Pia ni pamoja na higher expectations alizozitegemea akiingia ndoani au kwenye mahusiano, zisipofikiwa huruka kwingine ila mwishowe hutulia baada ya ukomavu wa akili.wawe wawili tena huyu mmoja ndo kila saa kupekuwa simu yake nani anawasiliana nae mkuu wanawake wengi wanachepuka kutokana na kukosa mapenzi kitandani na hata ndani ya nyumba wazia wawe wawili utawaweza kweli
Hii mada umeongelea upande wa starehe za ngono tu bali hujachukulia majukumu halisi ya mwanaume kwenye ndoa. Maana mpaka miaka 30 mihemuko ya kimapenzi inaisha karibu yote unawaza maendeleo ya familia yako, tena kwa uchumi huu, endekeza starehe watoto wako waje walitemee mate kaburi lako. Ukifika 45 hutajivunia wanawake wengi hata siku hii moja bali utajivunia familia bora na watoto wenye future.Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.
Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.
Hayana faida maana utayachoka tu. Kila kitu kwa kiasi, kitakachokupa nguvu ya kuendelea nikuona watoto wako wakiendelea kimaisha tu ila starehe za muda mfupi zinaua kama madawa ya kulevya tu.Kuwa nao wengi haimaanishi uwe na familia nyingi. Unakuwa na makoloni tu ambapo unapata raw materials.
Hapa umeongea kama mwanamke. Wanaume hatuko hivyo. Ile ni kama breathing kwa mwanaume, hamna kupumzika.
Mim niliwaambia humu wakanipinga kwa maneno ya kejeli eti nilipie tangazoHakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.
Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.