Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume

Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume

Unakuwa na wale unaowamudu.. hakikisha anakuwa na kazi ya kumuingizia kipato ili msaada wako uwe kiasi.
Wewe ktk umri wako huo ulio nao umeshawahi kukutana na mwanamke anayeridhika na kile anachokimiliki asitake 1½ ya kile cha bwana'ake?

NB;ni somo gumu kwangu labda nina mapungufu au nipo siriaz sana na maisha sijui!
 
Wewe ktk umri wako huo ulio nao umeshawahi kukutana na mwanamke anayeridhika na kile anachokimiliki asitake 1½ ya kile cha bwana'ake?

NB;ni somo gumu kwangu labda nina mapungufu au nipo siriaz sana na maisha sijui!
Mwanamke inategemeana na ulivyoanza naye tu. Saikolojia yao ni kupenda kupewa vitu hivyo ni muhimu uwe unampa vitu vidogo vidogo mara nyingi hivyo anaona aibu kuomba. Muhimu awe na kipato chake.
 
Bado hainiingii akilini!

Haya mambo ya makoloni ndiyo siku unaambiwa “jamani kodi yangu imeisha naomba niongeze 300,000/= tu” wakati huo hiyo 300K mimi naipigia hesabu ya kuweka japo milango banda langu la kupangisha.

Ninyi mmekamilika yaani mmeshajipanga siyo wa kuwaiga nyie.
Usiwaige watu wajf wote mamilionea kasoro mie na ndugu yangu National Anthem
 
Usiwaige watu wajf wote mamilionea kasoro mie na ndugu yangu National Anthem
Hakika mkuu maana pale juu ukimsoma anakwambia unakuwa nao wachache tu” sasa mtu unajiuliza wachache wangapi?wawili au wanne?

Na hizi kunguni zilivyo hata zikiwa mbili tu wewe ni kwa heri jinsi zitakavyokupopoa vizinga hutakaa uwe stable financially.
 
Hakika mkuu maana pale juu ukimsoma anakwambia unakuwa nao wachache tu” sasa mtu unajiuliza wachache wangapi?wawili au wanne?

Na hizi kunguni zilivyo hata zikiwa mbili tu wewe ni kwa heri jinsi zitakavyokupopoa vizinga hutakaa uwe stable financially.
Kwwli kabisa hawa wanawake wanakula hela balaaa....ukiangalia recod za tigopesa unaona kabisa hela nyingi umetumia kiwatumia warembo alafu sasa ebu fulia kidogo uone misonyo yao.
Ila ndio hivyo bwana lazima upate ladhantofauti tofauti kidogo maana sii unajua tena nyama ya swala sio sawa na nyama ya nyumbu tho wote ni wanyamapori
 
Hakika mkuu maana pale juu ukimsoma anakwambia unakuwa nao wachache tu” sasa mtu unajiuliza wachache wangapi?wawili au wanne?

Na hizi kunguni zilivyo hata zikiwa mbili tu wewe ni kwa heri jinsi zitakavyokupopoa vizinga hutakaa uwe stable financially.
Inaonekana wanawake wanakutesa sana. Utakuwa ni mtoaji mzuri na mwenye huruma.

Ni rahisi kumcontrol mwanamke ukiwa tough wakati mwingine.
 
Inaonekana wanawake wanakutesa sana. Utakuwa ni mtoaji mzuri na mwenye huruma.

Ni rahisi kumcontrol mwanamke ukiwa tough wakati mwingine.
Mkuu ”wanawake” gani mbona unanichomekea maneno mzee???

Wewe ndiye umejitapa hapa kwamba unahudumia wanawake kadhaa sasa nimeshakuwa mimi tena ndo nimesema maneno hayo?
 
Mkuu ”wanawake” gani mbona unanichomekea maneno mzee???

Wewe ndiye umejitapa hapa kwamba unahudumia wanawake kadhaa sasa nimeshakuwa mimi tena ndo nimesema maneno hayo?
Maelezo yako yanaonyesha unauzoefu fulani uliokusikitisha.

Wapi nimesema nahudumia wengi?
 
Maelezo yako yanaonyesha unauzoefu fulani uliokusikitisha.

Wapi nimesema nahudumia wengi?

Kuwa nao wengi haimaanishi uwe na familia nyingi. Unakuwa na makoloni tu ambapo unapata raw materials.
Ukisoma hapo ktk post zako unaelewa sawasawa ulichokiandika?au ni league unatafuta bila sababu za msingi?
 
Watu wa k 3 ndo hawatosheki hata awe na wanawake 10
 
Back
Top Bottom