Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume

Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,005
Reaction score
7,375
Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.

Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.
 
wawe wawili tena huyu mmoja ndo kila saa kupekuwa simu yake nani anawasiliana nae mkuu wanawake wengi wanachepuka kutokana na kukosa mapenzi kitandani na hata ndani ya nyumba wazia wawe wawili utawaweza kweli
 
wawe wawili tena huyu mmoja ndo kila saa kupekuwa simu yake nani anawasiliana nae mkuu wanawake wengi wanachepuka kutokana na kukosa mapenzi kitandani na hata ndani ya nyumba wazia wawe wawili utawaweza kweli
Utawashindwa wawili mkuu? Yaani wawili wakushinde???
 
Back
Top Bottom