luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
vitu gani hivo unafanya?
so many things. Etc etc.
vitu gani hivo unafanya?
mpaka lini sasa...inatakiwa ukiweka kitu mezani na yeye aweke...masuala ya saluni sijui na mambo mengine ya urembo ajihudumie mwenyewe
wadau mimi ni kijana tu bado sijaoa,sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae..napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni......vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo
Kuhonga ni silaha ya wanaume dhaifu
mpaka lini sasa...inatakiwa ukiweka kitu mezani na yeye aweke...masuala ya saluni sijui na mambo mengine ya urembo ajihudumie mwenyewe
kwanza wewe una miaka mingapi
Kila mtu ni mtafutaji. Pengine unatafuta k wakati yeye anatafuta hela, mnakutana na mnaenjoy. Mapenzi ni gharama. Pengine yeye anaishi Na chupi iliyo Na kiraka ila kama akikuletea k utamcheka KWA hali hiyo au akunyime unune au anunue kwanza ili akufurahishe. Je gharama za kukufurahisha nani azitoe?Hahahaha so mwanaume ndio wa kutoa?
nina miaka 31kwanza wewe una miaka mingapi
Mimi bila kuhonga, kwa kweli sina raha kabisa, Saikolojia ya mwanaume ni kutumia pesa yake na mwanamke, saikolojia ya mwanamke ni kukaa akiwa amependeza au nusu uchi wakati anatumia pesa ya mwanaume,
Wadau,
Mimi ni kijana tu bado sijaoa, sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?
Na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo.
huyo atakua amejidhalilisha mwenyeweNgoja siku uletewe 'papuchi' haijaoshwa !
nyie wazee ndio mnatakiwa mue na jukwaa lenu....efficiency ya kufikiri inapungua umri unavyoongezeka ni maada tuijadili dont lock ur mindNaomba mods wawatengee vijana jukwaa lao...
Haya mambo mengine yanatuchosha sana kwani yanawahusu watoto katika michezo yao ya kusaidiana kupita kwenye balehe!
Please Paw, Maxence Melo, Invisible tusaidie ili MMU ya watu wazima iongelee yale ya kiutu uzima. Habari za kuulizwa jinsi ya kuongea na msichana kwa mara ya kwanza au rangi ya maziwa (and the like) zinatujazia forum bure!
kwani we una elimu kiasi gani?Tafuta udongo uukojolee !
unajua wanawake wengi bado wana mtazamo wa kizamani mkuu dunia inabadilika na wao wabadilike piami naweza kumpenda binti ila nikaacha kumfata kutokana na uoga wa kuombwa hela, tena kwa matumizi ya ajabu na ghali hadi huruma
nyie wazee ndio mnatakiwa mue na jukwaa lenu....efficiency ya kufikiri inapungua umri unavyoongezeka ni maada tuijadili dont lock ur mind