Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Mwanamke kwangu sumu kuniomba hela

Leo mtaongea sana wabahili. Ila kiukweli mimi sijawai kumuomba mwanaume hela ila vitu ninavyofanya lazima nipewe kiroho safi. Ahaaaa imeandikwa kuwa mwanaume ampe mwanamke alichonacho lakini imeandikwa tuwahudumie.
 
Leo mtaongea sana wabahili. Ila kiukweli mimi sijawai kumuomba mwanaume hela ila vitu ninavyofanya lazima nipewe kiroho safi. Ahaaaa imeandikwa kuwa mwanaume ampe mwanamke alichonacho lakini imeandikwa tuwahudumie.
vitu gani hivo unafanya?
 
Leo mtaongea sana wabahili. Ila kiukweli mimi sijawai kumuomba mwanaume hela ila vitu ninavyofanya lazima nipewe kiroho safi. Ahaaaa imeandikwa kuwa mwanaume ampe mwanamke alichonacho lakini imeandikwa tuwahudumie.

Imeandikwa wapi
 
wadau mimi ni kijana tu bado sijaoa,sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae..napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni......vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo

Aisee inabidi tuzoee tu, maana hamna namna.
 
wadau mimi ni kijana tu bado sijaoa,sipendi mwanamke anae niomba hela na niko radhi kuachana nae..napenda mwanamke free na independent asie omba omba nimekua nao na nikiona ana omba tu nampiga kapuni......vijana wenzangu nyie kwa upande wenu hawa ombaomba hawa wakeri?na nyie jinsia nyingne hua mnajiskiaje kumtegemea mwanaume kwa 100% na Ilihali sio hata mumeo

Mkuu una akili sana.
 
Mm natoa Mr kama anasabb ya msingi maana unless itabd nimruhusu agongwe nje ili apewe hela.
Halaf acha utoto unatudhalilisha wanaume
 
Back
Top Bottom